sio siri yani yule jamaa toka nianze soma vitabu vyake sitaki kusikia hata kuomba kazi..naumia sana nikiona vijana wenzangu wanavyolalamika kazi hamna sijui nini na nin..mtu unakaa home au kitaa mwaka mpk mitatu lkn kama ungejishughulisha mamboa yana kua poa kabisa u dont need money to make money..unacho hicho kitabu version ya pdf mkuu? navitafuta vtab vyake sana yan kila nikisoma najikuta hata nikitembea naziona opportunities za kupiga hela tu yanmkuu upo sawa na natamani vijana watanzania tufunguke katika fikra.
Kuna raisi mmoja wa Marekani aliwahi kusema "before asking what your country will do for you, ask yourselft what will you do for your country"
ukishaona unafikiria mshahara kuliko kazi katika kitabu chake cha "retire young retire rich" Kiyosaki anaeleza utakuwa mtu wa kwenda shule kusoma kwa bidii upate "grade" nzuri za kukupa mshahara mzuri na sio uhuru wa kifedha na utumwa wa mshahara.
Na ukifuatilia utaona, watu wangapi wanadanganya umri wao kazini, na kwa nini?
Wazee wangapi wamestaafu serikalini kwa sababu ya utumwa wa mshahara wanashindwa kuendesha maisha yao ya uzeeni hatimaye kuamua kuomba ajira tena ktk taasis binafsi.
Mkuu napata shida na uchungu wa hawa vijana wenzetu/wetu wanavyofikiri.
Na katika hali hii tutegemee wawekezaji wa nje wataendelea kutufanya watumwa wao kwa kutmia mishahara.
Wenzetu wameshaanza na kazi kabisa unataka kutuma maombi? unawajua unawasikia? kazi kwa vi-memo.
sio siri yani yule jamaa toka nianze soma vitabu vyake sitaki kusikia hata kuomba kazi..naumia sana nikiona vijana wenzangu wanavyolalamika kazi hamna sijui nini na nin..mtu unakaa home au kitaa mwaka mpk mitatu lkn kama ungejishughulisha mamboa yana kua poa kabisa u dont need money to make money..unacho hicho kitabu version ya pdf mkuu? navitafuta vtab vyake sana yan kila nikisoma najikuta hata nikitembea naziona opportunities za kupiga hela tu yan
Na uwe umemaliza kuanzia 2010!!uwe na upper second!I wonder kama vyeti ndo vinafanya kazi or not?/hizi wamezitenga maalum kwa watoto wao waliomaliza Tumaini University with first class na upper za bureee...Mlimani hzo upper second utazisikia tuuuuuuu..
Wadau hivi kuna yoyote ambaye amefanya hizo application za TRA online akafanikiwa, mbona naona inazingua sana na hakuna feedback yoyote ukisha submit hiyo application
Mbona ni rahisi tu mkuu tena nimetumia simu kuijaza baada ya hapo wakanitumia this mail " ambapo kwenye hiyo mail wanakutumia reference number, So next time unaingia unafanya ku login na hiyo reference number then chini yake unachagua post
Labda kama utaenda kujazia internet cafe make sure umebeba details zako zote kuhusu 1.Personal information, 2.Education Qualification 3.skills and experience 4. References (referees)...
Ngoma msimbaz centre written interview...watu nyomi.Watoto wa CBE ndo usiseme kwa ngaz ya diploma unaweza ukasema orientation course.
Na uwe umemaliza kuanzia 2010!!uwe na upper second!I wonder kama vyeti ndo vinafanya kazi or not?/hizi wamezitenga maalum kwa watoto wao waliomaliza Tumaini University with first class na upper za bureee...Mlimani hzo upper second utazisikia tuuuuuuu..
Na uwe umemaliza kuanzia 2010!!uwe na upper second!I wonder kama vyeti ndo vinafanya kazi or not?/hizi wamezitenga maalum kwa watoto wao waliomaliza Tumaini University with first class na upper za bureee...Mlimani hzo upper second utazisikia tuuuuuuu..
acha ujinga! Yaani ndo kwanza tangazo limetoka deadline haijaisha unaulizia mshahara?
Hivi wanajamvi kwa nini watu tumekuwa na umimi sana?
Hivi ikatokea watu hawalipwi mshahara kuna wengi humu ndani hawatafanya kazi.
Mnaboa sana, tangazo ndo kwanza limetoka unauliza mshahara! Why dont you ask resposibility instead of asking salary?
Msigombane ndugu zangu. mishahara ya tra ni ya kawaida sana