Nafasi za kazi TRA

Sehemu za kuattach vyeti hawajaweka sijui wanataka maelezo tu
msaada, kuna pa ku attach vyeti? nieleweshe plz coz nimefungua naona sehem tu pa kijaza details zingine
 

We Wa Wapi?
Kwa Hiyo Utafanya Kazi Bila Kujua Malipo?
Jua Elimu Imegharamiwa, Na Malipo Mazuri Ni Chanzo Cha Uwajibikaji Makini!
 



huyo kamanda na yeye ni fisadi. mafisadi hawajali mshahara ata kidogo wao wanajali wako sehem ya kupiga tu, ata ukiwaondolea mshahara kwao shwari tu.
 
Kazi zina masharti utadhani...................2010,miaka 33,upper class.na kesho mtaanza kuchagua vyuo. Mmefanikiwa
 
huyo kamanda na yeye ni fisadi. mafisadi hawajali mshahara ata kidogo wao wanajali wako sehem ya kupiga tu, ata ukiwaondolea mshahara kwao shwari tu.
wajasiriamali wote wanafanya kazi bila mshahara kwa hata miaka mitano. Sasa wewe bila kutaka kujua undani wa nilichoongea unatoa "judgement"
tatizo akili yako inaamini bila kuajiriwa huwezi kufanikiwa. Kwa ushauri kwako na kwa fluid tafuteni kitabu kinachoitwa "rich daddy poor daddy by Robert Kiyosaki" utaelewa ninachosema

kuendelea kufikiria hivyo ndiyo sababu vijana wa kitanzania wenye mtazamo kama wako wamebaki wakitembeza "application kila ofisi bila mafanikio. Unaweza ukafanya kazi bila malipo si kwa sabau wewe ni fisadi ila kwa sababu unatafuta "practical expirience" na "practical skills" na hii imenisaidia na pia watu mengine nimewashauri wamefanya "volunteering" zaidi ya mwaka na sasa wanaajira zao. Na nikuambie kuwa wanaofanya kazi kwa kuangalia mshahara ni watumwa wa kazi.(utafanya kazi x utaona mshahara hautoshi utaomba kazi y, utaona kama mshahara na majukumu haviendani utaamua kwenda kusoma ili upande cheo na mshahara, ukimaliza utaona kama elimu yako na uzoefu wako havistahili huo mshahara utahama ofisi kwenda ofisi yenye mshahara mkubwa zaidi. Yatakuwa ndo maisha yako yote hadi kufa. (kwani wewe huoni vijana wenzenu wanavyohama ofisi hadi ofisi wakitafuta mshahara na sio kazi)
 

hasira za nini? Kwa nini usijibu kwa ustaarabu bila kutumia lugha isiyo na staha.
Hivi hii ndiyo elimu ya tanzania ilivyo kwamba vijana wetu hawapo tayari kupokea wazo tofauti na kile wanachoamini ni ukweli japo kinadharia hakifanyi kazi?
Najaribu kufikiria weledi wako nagundua kuwa upo kwenye makaratasi na sii kichwani. Labda nikuulize ni nini kinachokufanya wewe ufanye kazi tofauti na mshahara?
Kazi ni zaidi ya mshahara!
Nachokitaka ni ku-"supress" hilo wazo lako la mshara kwanza.
Embu onyesha kuwa wewe una maarifa kwa kujibu kwa staha, kwani lengo langu ni kukusaidia kufikiri kwa mtazamo mwingine ili usije ukawa mtumwa wa ajira, kwani utakufa maskini.
 
Jamani mbona hakuna mahali pa kuattach cv embu tujulishana wanaofahamu
 
mdau refresh browser yako, clear history/session then gonga tena link, for sure u'll get in

-cheers
 
woow its good to have +ve insight and thinking optimistic always

thru this u gonna archive wat others always dreams

kip-it-up

-cheers
 
msaada, kuna pa ku attach vyeti? nieleweshe plz coz nimefungua naona sehem tu pa kijaza details zingine

huhitajiki ku-attach vyeti wala CV, in summry inaonekana page imejitosheleza kila kitu ni cha kujaza, so by finishing they'll have all your CV in their website

-i think
 
Katika orgn ambazo huwa sijisumbui kuapply moja ni TRA ya pili BOT unless nina mtu wa kunishika mkono!
 
daah kaka ni watu wachache sana wanaweza kua na mtazamo kama wako..nafikir idea za robert kiyosaki kama unzao hivi binafsi sipendi utumwa watu kama wewe ndo muhimu sana lakini mbaya sana vijana wengi hawajui kwamba kuajiriwa ni utumwa...coz muajir anakuipa enuf uweze stay kazini na wewe waenda kazini ili usifukuze kazi...big up bro too bad watu hawaelewi
 
jamani naona mmeshukuru sanaa hata mm nilikuwa nahamu hiyo ya kushukuru ila mbona post zenyee sizionii? naombeni maelekezo zaidi my fellow user friend please.

Nenda kwenye link ya Advertisement hapo utakutana na nafasi zifuatazo:
[TABLE="width: 100%"]

[TR]
[TD="class: sectiontableheader"]Title [/TD]
[TD="class: sectiontableheader, width: 5%, align: center"] Hits [/TD]
[/TR]
[TR="class: sectiontableentry1"]
[TD] Receptionist cum Telephone Operator [/TD]
[TD="align: center"] 2810 [/TD]
[/TR]
[TR="class: sectiontableentry2"]
[TD] Janitor [/TD]
[TD="align: center"] 3545 [/TD]
[/TR]
[TR="class: sectiontableentry1"]
[TD] Library Assistants [/TD]
[TD="align: center"] 2674 [/TD]
[/TR]
[TR="class: sectiontableentry2"]
[TD] Assistant Librarian [/TD]
[TD="align: center"] 2368 [/TD]
[/TR]
[TR="class: sectiontableentry1"]
[TD] Preventive Assistant [/TD]
[TD="align: center"] 9252 [/TD]
[/TR]
[TR="class: sectiontableentry2"]
[TD] Assistant Tax Officers [/TD]
[/TR]

[/TABLE]
 

mkuu upo sawa na natamani vijana watanzania tufunguke katika fikra.
Kuna raisi mmoja wa Marekani aliwahi kusema "before asking what your country will do for you, ask yourselft what will you do for your country"
ukishaona unafikiria mshahara kuliko kazi katika kitabu chake cha "retire young retire rich" Kiyosaki anaeleza utakuwa mtu wa kwenda shule kusoma kwa bidii upate "grade" nzuri za kukupa mshahara mzuri na sio uhuru wa kifedha na utumwa wa mshahara.
Na ukifuatilia utaona, watu wangapi wanadanganya umri wao kazini, na kwa nini?
Wazee wangapi wamestaafu serikalini kwa sababu ya utumwa wa mshahara wanashindwa kuendesha maisha yao ya uzeeni hatimaye kuamua kuomba ajira tena ktk taasis binafsi.
Mkuu napata shida na uchungu wa hawa vijana wenzetu/wetu wanavyofikiri.
Na katika hali hii tutegemee wawekezaji wa nje wataendelea kutufanya watumwa wao kwa kutmia mishahara.
 
zile mambo kua na refa bado zipo nimtafute wangu mapema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…