Nafasi za kazi supermarket

Nafasi za kazi supermarket

blackgal94

Member
Joined
Jul 13, 2016
Posts
37
Reaction score
15
Habarin,mm ni binti mwenye miaka 24 natafuta nafasi ya kazi kwenye supermarket, sehemu za kuonesha sinema, sheli ..n.k ..napatikana dar ..asanteni....mwenye chaneli pliz naomba ani text inbox
 
Habarini,

Mimi ni binti mwenye miaka 24 natafuta nafasi ya kazi kwenye supermarket, sehemu za kuonesha sinema, sheli n.k napatikana Dar.

Ahsanteni, mwenye chanel please naomba ani text inbox.
 
andikeni basi "NATAFUTA KAZI" kama kichwa cha habari
maana mkisema nafasi za kazi wengine tunakuja mbio mbio kwanini mnatuchosha nafsi zetu lakini jamani
 
cd9b6e41288af08abe24a163a02f736f.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom