nafasi za kazi SUA

lecture na communication skill gani? ni material tu unayaweka hapo PP au ubaoni unaeleza logic tu mengine wanasoma wenyewe kwani ni watoto au ni politics?

Unafundisha bila ya communication skills? Hiyo ni muhimu sana. Unadhani kwa nini courses nyengine zinakuwa ngumu sana? Ni kwa sababu mawasiliano ni mabovu! Yaani lecturer anayo material kibao lakini hawezi kuyafikisha ipasavyo kwa wanafunzi.

Na hao si Watoto wala sio Politics.
 
Unafundisha bila ya communication skills? Hiyo ni muhimu sana. Unadhani kwa nini courses nyengine zinakuwa ngumu sana? Ni kwa sababu mawasiliano ni mabovu! Yaani lecturer anayo material kibao lakini hawezi kuyafikisha ipasavyo kwa wanafunzi.

Na hao si Watoto wala sio Politics.

Nakubaliana na wewe. Kwakweli hilo ndio tatizo la malecturer na walimu wengi sana wa kibongo. Mtu communication hawezi kabisa mpaka unapata shida kumwelewa anachoongea. Kiingereza kibovu,kiswahili ndio anatumia muda mwingi kuelezea alivyokua shuleni huko ng'ambo etc napo kigugumizi mtupu!
 
Kiingereza kibovu, kiswahili ndio anatumia muda mwingi kuelezea alivyokua shuleni huko ng'ambo etc napo kigugumizi mtupu!
(Red) unamaanisha malekcha wanavigugumizi? Au lugha ya kizungu inagomba? Jamani, kiswahili si ndiyo lugha ya mama!
 
Hata tanesco mchezo ni huo huo, tena wale ndo nux wanatangaza, wanawaita,wanawaintavyu alafu wanawabwaga wote mnaanza kujiuliza nani kaajiriwa? mkienda HR mkaongea fresh na mtu kiushikaji anawapa full kwamba pale mlikua mnakamilisha procedure lakini mwenyewe mbona kaanza kazi mwezi sasa....unaishiwa nguvu....! Tanesco wanakua wakweli pale tu wanapochukua group la graduates pale mlimani lakini hizi za kujitokeza sahau....
uwiiiiiiii duh
 
Back
Top Bottom