hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,643
- 19,018
Singida united watoa nafasi ya kazi
*TANGAZO NAFASI YA KAZI.*
Tunahitaji watu wawili kwenye nafasi mbili zifuatazo.
Sifa elimu ya kazi husika, uzoefu,
umri kuanzia 25-40,
makini na
wanaotambua professionalism kwenye kazi.
*NAFASI HIZO NI*
1.Daktari wa timu (wachezaji,)
2.Mpiga picha, awe na ujuzi kwenye.
Kupiga picha aina zote,
Graphics,
Uandishi wa habari(Photo journalism),
Video (editing).
CV/Maombi yatumwe kabla ya 05/08/2017
singidaunited@yahoo.com
festosanga52@gmail.com
Imetolewa na
Abdulrahaman Sima
Katibu
SINGIDA UNITED FC.
*TANGAZO NAFASI YA KAZI.*
Tunahitaji watu wawili kwenye nafasi mbili zifuatazo.
Sifa elimu ya kazi husika, uzoefu,
umri kuanzia 25-40,
makini na
wanaotambua professionalism kwenye kazi.
*NAFASI HIZO NI*
1.Daktari wa timu (wachezaji,)
2.Mpiga picha, awe na ujuzi kwenye.
Kupiga picha aina zote,
Graphics,
Uandishi wa habari(Photo journalism),
Video (editing).
CV/Maombi yatumwe kabla ya 05/08/2017
singidaunited@yahoo.com
festosanga52@gmail.com
Imetolewa na
Abdulrahaman Sima
Katibu
SINGIDA UNITED FC.