nikuchekeshe tu
majuzi niko mlimanicity aka the place na don wa nakumat kaja dada mmoja anasema ameongea na mtu kaambiwa kuna ajira
ila ameambiwa amtumie
alf hamsini. Yeye ameomba kwa ndugu wiki ya pili kapata thelathininatano. Aliomba aonane na mhusika amwelwze shida yake
kisa kaona tangazo mbezi mwisho nakumat wanaajiri
akatoa na namba za simu ukipiga awapokei hata kidogo
wanakutumia msg sema shida yako kwa msg tukusaidie
mtuhuyu itokee anakutanana hao malusifa na less ya 15si analipia bal lodge
inaumiza sana sana