Nafasi za kazi NMB Eastern Zone

Nafasi za kazi NMB Eastern Zone

Wadau naleta kwenu
Uzi
Mwenye kujua ni chance zipi,vigezo na mwisho wa kutuma maombi ni lini!!
Maana hawa jamaa nao washaanza ujinga!! Hawatangazi kwenye magazeti!!!!
Wanazitoa kimya kimya!!

-------------------

mwenye experience na hawa nmb.....kwenye kuita huwa wanatumia simu au email??
 
nshafanya application na hawa watu ad iman nao sna tena.iv wanataka vgezo gan hasa kwa sababu nahc wanakuaga na watu wao tayar.

Tafuta mtu azogeze cv
 
hapa naona mnanichanganya posta wasije wakalamba fedha yakutuma kwani Tabora ni Eastern zone?
 
Deadline ni trh 12 na letter iwe duly signed akimaanisha uhalali..na relevant copies of certificates
 
Deadline ni trh 12 na letter iwe duly signed akimaanisha uhalali..na relevant copies of certificates

Deadline ilikua tarehe 21/3/2014 hiyo ya tarehe 12,sijui ni tangazo la Nmb zone ipi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom