Nafasi za kazi NMB Eastern Zone

Nafasi za kazi NMB Eastern Zone

Wadau naleta kwenu
Uzi
Mwenye kujua ni chance zipi,vigezo na mwisho wa kutuma maombi ni lini!!
Maana hawa jamaa nao washaanza ujinga!! Hawatangazi kwenye magazeti!!!!
Wanazitoa kimya kimya!!

-------------------

mwenye experience na hawa nmb.....kwenye kuita huwa wanatumia simu au email??
 
hapa naona mnanichanganya posta wasije wakalamba fedha yakutuma kwani Tabora ni Eastern zone?
 
Deadline ni trh 12 na letter iwe duly signed akimaanisha uhalali..na relevant copies of certificates
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom