- Thread starter
- #121
Kuna za wapi na wapi bwana mawazo ujenzi maana mimi bado hujanitumia! brashi001@gmail.com
Nmb western zone na Nmb eastern zone, wait nikitulia ntakutumia
Kuna za wapi na wapi bwana mawazo ujenzi maana mimi bado hujanitumia! brashi001@gmail.com
Wadau naleta kwenu
Uzi
Mwenye kujua ni chance zipi,vigezo na mwisho wa kutuma maombi ni lini!!
Maana hawa jamaa nao washaanza ujinga!! Hawatangazi kwenye magazeti!!!!
Wanazitoa kimya kimya!!
-------------------
mwenye experience na hawa nmb.....kwenye kuita huwa wanatumia simu au email??
wanapiga simu mkuu, utaona simu za nyumbani au maofisini
nshafanya application na hawa watu ad iman nao sna tena.iv wanataka vgezo gan hasa kwa sababu nahc wanakuaga na watu wao tayar.
Tafuta mtu azogeze cv
namba uniwekee kwenye email: okhanioja@gmail.comMwenye email anitumi,nimutumie aziweke jukwaani
Nitumie mail yako!! Kwan jamaa kanitumia inasumbua kuicopy na kuipaste!!!
Naomba uniwekee hizo nafasi kwenye hii mail ndugu
okhanioja gmail.com
duhh hazipo hizo job wadau...mambo ni romors tuu
Deadline ni trh 12 na letter iwe duly signed akimaanisha uhalali..na relevant copies of certificates
Deadline ilikua tarehe 21/3/2014 hiyo ya tarehe 12,sijui ni tangazo la Nmb zone ipi!
Deadline ni trh 12
na letter iwe duly signed akimaanisha uhalali..na relevant copies of
certificates
lake zone....central zone.....southern