Nafasi za kazi NHIF

si kweli, ukitumia utumishi unaupload vyeti mara moja tuu, then unatumia vyeti hivo kuombea kila kazi, hakuna maana ya kuwa na portal kama utakua vyeti lazima viwe certified



HATA KWENYE POSTS ZA TPA WAMESEMA HIVYO PIA,WANANISHANGAZA SANA AISEEEEEE....WAKATI MM NIMESCAN VYETI ORIGINAL NDIYO NILIVYOATTACH KWENYE PORTAL.
 
Mbona Mimi Nime Certify nikatuma anyway ngoja Ushindani Upungue

IMG_20170323_211416_911.JPG
 
Mlivyokua Vilaza Mtapata kweli hizi Post Mbona Mimi Nime Certify nikatuma anyway ngoja Ushindani Upungue Mnalishana Ujinga tuu

View attachment 485805

wewe uliesema umesoma UDSM na sifa kibao kumbe unataka sifa..

Unajua maanaya utumishi kuanzisha hiyo portal?? kinachokuja kubadilisha hapo ni application letter tu,sasa wewe umecertify vyeti tarehe 25/3/2017 then kazi ingine ikatangazwa tarehe 5/6/2017 utaenda kucertify tena wakati kwenye portal unaweka vyeti mara moja..
 
We Mbona Kilaza Wa Kutupwa Yaani hapo hiyo tarehe hujaiona hapo vimekua Certified Na niliscan na Kupata soft copy kama hiyo niliyokutumia

Daaah Ujinga mzigo sana kwa hiyo Mimi nikitaka kuomba kazi inayohitaji certified certificates Naprint tuu then natuma daaah huu ujinga wacha tuamini tuu kuwa Mwalimu nyerere alipigania Uhuru

Sawa mUDSM
 
Kumbe wewe ndo yule uliekua unalalamikia taasisi mpya ya jk! Lugha chafu zote,elimu yako yote bado unataka kuajiriwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom