Fanya utafti wa kutosha kwa mtu aliyeko kule,ila alternative ni wewe kwenda na CV yako na pesa za kujikim kama dola elf 2, utafikia kwenye hotel.kaa kama wk moja, ndani ya wki hiyo sambaza CV yako kwa maofisi. kisha rudi zako bongo. wakikuitaji watakutumia detail na working permit, na other requirements,hivyo vitakusaidia kupita mipakani kirahisi. kwa mara ya kwanza ukipita sema ni business purpose, ila watakupekua sana, kwani wana discourage watu wanaoingia kwao kwa nia ya kutafuta kazi.Sina uzoefu na ICT,ila kazi za Udaktari, enginnering related fields,zinapatikana sana, ila kozi za sociology zimejaa zana pale UB ( University of Botswana), Mishahara hutegema na mji utakao kaa, ukikaa Haboroni( Gaboron) mshahara ni mkubwa kwani maisa yako juu, ila na saving ni kubwa, ukienda Francis Town, mishahar ipo chini kidogo.Generally hawapendi wageni, wana waita wakwere kwere.</p>