ladybutterfly
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 210
- 52
Mgahawa unaitwa Upcountry Kitchen Taste upo Kibosho Mweka- Kilimanjaro, unatangaza nafasi 2 za wahudumu na mpishi 1.
Waombaji wawe wakazi wa Kilimanjaro, Muombaji awe msafi, anayejituma na anayejitambua,wenye uzoefu watapewa kipaumbele.
Huduma ya chakula cha asubuhi, mchana na usiku kwa staff inatolewa na employer.
Maombi yote yatumwe WhatsApp kupitia namba ya simu 0752808396, kwa kutuma ujumbe unaoelezea wasifu wa muombaji pamoja na picha full.
Waombaji wawe wakazi wa Kilimanjaro, Muombaji awe msafi, anayejituma na anayejitambua,wenye uzoefu watapewa kipaumbele.
Huduma ya chakula cha asubuhi, mchana na usiku kwa staff inatolewa na employer.
Maombi yote yatumwe WhatsApp kupitia namba ya simu 0752808396, kwa kutuma ujumbe unaoelezea wasifu wa muombaji pamoja na picha full.