Habari wanajf, kama kichwa cha habari kinavyojielezea. Mimi kunakitu nilkuwa nawaza kufungua kituo cha education center kwaajiri ya wanaorudia mitihani yao ya kidato cha nne na wanaotaka kusoma tuition ya masomo mbalimbali. Kwaiyo natafuta walimu wa masomo mbali mbali kwaajiri ya kufundisha masomo yote ya o-level na a-level.
Kwa walimu wa dodoma tu namba zangu hizi 0652247221 / 0755429928
Ndugu ushakifungua au bado? Kama kipo tayar nijulishe
Nini Maana YA yeye kuweka Namba za simu!???MKUU,
WA FIZIKIA NA HESABU AMEPATIKANA??
Npo mkuu..!!! Sema mtaa gani nafundisha masomo mawili geography na uchumi kwa advance..!!!Habari wanajf, kama kichwa cha habari kinavyojielezea. Mimi kunakitu nilkuwa nawaza kufungua kituo cha education center kwaajiri ya wanaorudia mitihani yao ya kidato cha nne na wanaotaka kusoma tuition ya masomo mbalimbali. Kwaiyo natafuta walimu wa masomo mbali mbali kwaajiri ya kufundisha masomo yote ya o-level na a-level.
Kwa walimu wa dodoma tu namba zangu hizi 0652247221 / 0755429928