Tembele
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 1,154
- 350
Kiwanda cha kuchakata plastiki kilichopo tegata - Daressalaam, Kinatafuta vijana wawili kwa ajili ya kazi za kiwandani, Kazi hizo zinahusisha , kuchambua plastiki, Kuosha plastiki, Kusaga plastiki na Kuengeneza bidhaa mbali mbali kwa kutumia plastiki, vijana wawe na sifa zifuatazo.
1. Awe anajua kusoma na kuandika vema.
2. Awe Mwaminifu, mwenye Maadili Mema na anafundishika.
3. Awe na Umri kati ya miaka 20 hadi 35
4. Anayeishi Maeneo ya Tegeta au karibu na Tegeta atapewa kipaumbele.
5. Mwenye utayari wa kuanza kazi Jumatatu ( 14/04/2025 )
6. Awe na utambulisho rasmi wa barua kutoka serikali mtaa anaoishi.
Tafadhali Piga simu No: 0757100012
unaweza pia kutuma bara pepe kwa: info@ecoact.co.tz
1. Awe anajua kusoma na kuandika vema.
2. Awe Mwaminifu, mwenye Maadili Mema na anafundishika.
3. Awe na Umri kati ya miaka 20 hadi 35
4. Anayeishi Maeneo ya Tegeta au karibu na Tegeta atapewa kipaumbele.
5. Mwenye utayari wa kuanza kazi Jumatatu ( 14/04/2025 )
6. Awe na utambulisho rasmi wa barua kutoka serikali mtaa anaoishi.
Tafadhali Piga simu No: 0757100012
unaweza pia kutuma bara pepe kwa: info@ecoact.co.tz