Watu kibao wanaenda na hata kurudi hawataki, wanapiga hela nzuri, mtu hujasoma kbsa unapigwa laki 4 mpaka 5 kwa mwezi. lile tukio lililotokea ilikua ni tatizo la agent wa hapa hapa bongo, warabu wametaka machangudoa wazuri, sasa agent akaona badala ya kwenda kubeba wale wanaokaa barabarani kaona wameshachoka anataka wabichi wabichi, ndo akasingizia ni kazi za ndani maana akisema ni kazi ya danguro hamna ambae angejitokeza. kwahiyo mbongo mwenzetu mwnywe ndo aliewauza wabongo wenzake.
Wasichana kibao wanafanya kazi na wananawiri kurudi hawataki, hapa utampa elfu 30 mpaka 50. kule anachukua laki 4, msosi mzuri, AC mda wote, kazi zenyewe sio nyng, manyanyaso inategemea na mwajiri na tabia yake, hata hapa wananyanyaswa, na hamna hyo kitu, balozi ipo, makundi ya ubongo yapo. hamna anaemnyanyasa mtu, na sio kazi za ndani tu, zipo za security km wakenya na wa nigeria wanapiga bao, wabongo tutabakia majungu na kulalamika.
Narrow minded.