Sio kweliShida ya hii kampuni malalamiko ya kutolipwa mishahara ni mengi sana
Sio kweliShida ya hii kampuni malalamiko ya kutolipwa mishahara ni mengi sana
Kivipi Yan mkuu sijaelewanasikia hizi kazi it is a sham(show off) kua hua wanaajiri. ngoja tuone.
yaan wametangaza ndio ila hawaajiri na ukituma email inafika fresh tu ila haifanyiwi kazi.Kivipi Yan mkuu sijaelewa
ni kule NANGURUKURU kabisa ndani ndani njia ya kuelekea UGIMBINgerengere ni wapiii
Wamenijibu kuwa wamepokea maombi yangu na yanafanyiwa kazi...... wanapitia CV na watanipatia mrejeshoyaan wametangaza ndio ila hawaajiri na ukituma email inafika fresh tu ila haifanyiwi kazi.
Wamenijibu kuwa wamepimepokea maombi yangu na yanafanyiwa kazi...... wanapitia CV na watanipatia mrejesho
kwa watu buku mshahara kuanzia laki 5, pesa ndefu sana hio lazima watikisikeShida ya hii kampuni malalamiko ya kutolipwa mishahara ni mengi sana
Blog ipi hiyo mkuu niitembelee kidogo
Wamenijibu kuwa wamepokea maombi yangu na yanafanyiwa kazi...... wanapitia CV na watanipatia mrejesho
MZEE,Wamenijibu kuwa wamepokea maombi yangu na yanafanyiwa kazi...... wanapitia CV na watanipatia mrejesho
Kuna ambaye ameshaitwa hapa!?Haya kwa wenye uhitaji wa ajira mkuje mtume CV zenu, pia kwa ambao watahitaji msaada wa jinsi ya kuandika CV mseme tuwasaidie.
Alafu, nawakumbusha waombaji ambao bado hawana CV zilizo ene, msisahau kucount in those days mlipo kuwa field.
Kuna ambaye ameshaitwa hapa hiHaya kwa wenye uhitaji wa ajira mkuje mtume CV zenu, pia kwa ambao watahitaji msaada wa jinsi ya kuandika CV mseme tuwasaidie.
Alafu, nawakumbusha waombaji ambao bado hawana CV zilizo ene, msisahau kucount in those days mlipo kuwa field.
Hilo ni la kweli mkuu!! Shida na wao hawalipwi on time na serikali, tena kuna wakandarasi wanao supply huduma na vifaa kwao, wakikusimulia hali zao ki uchumi ni mbaya munooooo! Na kuna migomo sana kwenye huo mradi wa sgr sema ukionyesha kwenye tv, kazi unayo kazima rungu la tcra likuangukie kuwa sio mzalendo!!Shida ya hii kampuni malalamiko ya kutolipwa mishahara ni mengi sana
Inshu sio, kukujibu kuwa wamepokea, inshu ni kuitwa kwenye usahili na kuanza kazi! Utasubiria sana!!! Huo ni mkakati wa siasa tu hakuna kazi hapo.Wamenijibu kuwa wamepokea maombi yangu na yanafanyiwa kazi...... wanapitia CV na watanipatia mrejesho