mc luggy JF-Expert Member Joined Mar 6, 2013 Posts 454 Reaction score 102 Dec 20, 2014 #41 egentle said: Ana elimu gani?? Kule ukiwa na vigezo na vyeti vizuri fasta tu ukai sana Click to expand... We elimu co sababu kuna wanangu six wametoboa mmoja juz kat apa ndo ksondoka kaenda uhamiaji kaja kufanya mipango mtaani but kule katoboa tena co peke yake ni kibao tuuuu
egentle said: Ana elimu gani?? Kule ukiwa na vigezo na vyeti vizuri fasta tu ukai sana Click to expand... We elimu co sababu kuna wanangu six wametoboa mmoja juz kat apa ndo ksondoka kaenda uhamiaji kaja kufanya mipango mtaani but kule katoboa tena co peke yake ni kibao tuuuu
G gasscan Member Joined Dec 3, 2014 Posts 39 Reaction score 7 Dec 20, 2014 #42 chumvichumvi said: Muongozo ...... badala ya mwongo Click to expand... mkuu habar xx inakuaje vikos vyote wachkue nje? huoni km wanaondoa dhana nzima ya JKT
chumvichumvi said: Muongozo ...... badala ya mwongo Click to expand... mkuu habar xx inakuaje vikos vyote wachkue nje? huoni km wanaondoa dhana nzima ya JKT
A amiri1112 Member Joined Nov 4, 2014 Posts 8 Reaction score 2 Dec 20, 2014 #43 Hii habar haina ukweli wwte kama unabisha nenda makao
NYEHUNGE JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 344 Reaction score 68 Dec 20, 2014 #44 amiri1112 said: Hii habar haina ukweli wwte kama unabisha nenda makao Click to expand... Mbona hili tangazo lipo kwenye website yao JKT, au wanafanya utani?
amiri1112 said: Hii habar haina ukweli wwte kama unabisha nenda makao Click to expand... Mbona hili tangazo lipo kwenye website yao JKT, au wanafanya utani?
M MZIBHAZI JF-Expert Member Joined May 11, 2013 Posts 520 Reaction score 139 Dec 20, 2014 #45 NYEHUNGE said: Mbona hili tangazo lipo kwenye website yao JKT, au wanafanya utani? Click to expand... Wanafanya utaniii??????acha masiala bana jeshi wafanye utani???aaah hapo ndo wameshaamua hivyoo aisee lile ni jeshi na si the commedy crew bana
NYEHUNGE said: Mbona hili tangazo lipo kwenye website yao JKT, au wanafanya utani? Click to expand... Wanafanya utaniii??????acha masiala bana jeshi wafanye utani???aaah hapo ndo wameshaamua hivyoo aisee lile ni jeshi na si the commedy crew bana
NYEHUNGE JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 344 Reaction score 68 Dec 20, 2014 #46 Tumbu said: Wanafanya utaniii??????acha masiala bana jeshi wafanye utani???aaah hapo ndo wameshaamua hivyoo aisee lile ni jeshi na si the commedy crew bana Click to expand... Nilikua namjibu jamaa pale juu anayesema "hii habari haina ukweli wowote".
Tumbu said: Wanafanya utaniii??????acha masiala bana jeshi wafanye utani???aaah hapo ndo wameshaamua hivyoo aisee lile ni jeshi na si the commedy crew bana Click to expand... Nilikua namjibu jamaa pale juu anayesema "hii habari haina ukweli wowote".
A ay88 Member Joined Dec 14, 2014 Posts 5 Reaction score 0 Dec 20, 2014 #47 Jamn wadau hayo mafunzo ni kwa muda gani na utaratibu inakuaje kwa wenye nia ya kujiunga?
Konda wa bodaboda JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,981 Reaction score 4,172 Dec 20, 2014 #48 egentle said: Vuta subita kijana Click to expand... Mkuu, subita ndio kambi gani?
Konda wa bodaboda JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,981 Reaction score 4,172 Dec 20, 2014 #49 amiri1112 said: Hii habar haina ukweli wwte kama unabisha nenda makao Click to expand... Lete hiyo yenye ukweli tuione.
amiri1112 said: Hii habar haina ukweli wwte kama unabisha nenda makao Click to expand... Lete hiyo yenye ukweli tuione.
egentle JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 808 Reaction score 389 Dec 20, 2014 Thread starter #50 Konda wa bodaboda said: Mkuu, subita ndio kambi gani? Click to expand... Kuna kambi moja ipo mkoa wa subira uvumilivu33Kj
Konda wa bodaboda said: Mkuu, subita ndio kambi gani? Click to expand... Kuna kambi moja ipo mkoa wa subira uvumilivu33Kj
Konda wa bodaboda JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,981 Reaction score 4,172 Dec 21, 2014 #51 egentle said: Kuna kambi moja ipo mkoa wa subira uvumilivu33Kj Click to expand... Sawa mkuu! mimi nimeuliza subita siyo huko uliponijibu.
egentle said: Kuna kambi moja ipo mkoa wa subira uvumilivu33Kj Click to expand... Sawa mkuu! mimi nimeuliza subita siyo huko uliponijibu.
Risk manager JF-Expert Member Joined Mar 21, 2014 Posts 8,807 Reaction score 17,359 Dec 21, 2014 #52 Da namie nina mpango wa kwenda jkt
Konda wa bodaboda JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,981 Reaction score 4,172 Dec 21, 2014 #53 keisangora said: Da namie nina mpango wa kwenda jkt Click to expand... Jkt ndio wapi huko?
Risk manager JF-Expert Member Joined Mar 21, 2014 Posts 8,807 Reaction score 17,359 Dec 21, 2014 #54 Si ndio jkt jamani kwani dar ndo wapi weeew
Ibravo JF-Expert Member Joined Jan 15, 2014 Posts 539 Reaction score 202 Dec 22, 2014 #55 Konda wa bodaboda said: Jkt ndio wapi huko? Click to expand... We kilaza.
Brightdeemed JF-Expert Member Joined Nov 3, 2014 Posts 291 Reaction score 139 Dec 22, 2014 #56 Mapovu said: Ni bora uwe mmachinga wa kutembeza bidhaa kuliko kwenda mafunzo ya jkt miaka 2......wengine wameandamana leo hii kushinikiza jeshi liwaajiri Click to expand... Kujitolea miaka miwili nabado ajira usotee, na ktk kusotea unaweza kupata au kukosa, ewe Mungu tuhurumie waja wako
Mapovu said: Ni bora uwe mmachinga wa kutembeza bidhaa kuliko kwenda mafunzo ya jkt miaka 2......wengine wameandamana leo hii kushinikiza jeshi liwaajiri Click to expand... Kujitolea miaka miwili nabado ajira usotee, na ktk kusotea unaweza kupata au kukosa, ewe Mungu tuhurumie waja wako
MERCENARY2015 JF-Expert Member Joined Oct 3, 2014 Posts 399 Reaction score 284 Dec 22, 2014 #57 JKT! JKT! JKT! JKT! JKT! serikali iwaangalie sana hawa vjana kwa kuwapa ajira mbalmbal katka sekta zao
JKT! JKT! JKT! JKT! JKT! serikali iwaangalie sana hawa vjana kwa kuwapa ajira mbalmbal katka sekta zao
Bill of Quantity JF-Expert Member Joined Dec 2, 2014 Posts 1,233 Reaction score 407 Dec 22, 2014 #58 laki si pesa said: Mi mdogo wangu ana mwaka wa pili yuko tu anasubiri ajira.jkt haiko fair kwa kweli Click to expand... Nafasi za kujitolea zinakuwaje? sifa za kujiunga zikoje?
laki si pesa said: Mi mdogo wangu ana mwaka wa pili yuko tu anasubiri ajira.jkt haiko fair kwa kweli Click to expand... Nafasi za kujitolea zinakuwaje? sifa za kujiunga zikoje?
egentle JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 808 Reaction score 389 Dec 22, 2014 Thread starter #59 Konda wa bodaboda said: Sawa mkuu! mimi nimeuliza subita siyo huko uliponijibu. Click to expand... Some tyms unatakiwa ujiongeze kama mtu akikosea kdgo kuandika
Konda wa bodaboda said: Sawa mkuu! mimi nimeuliza subita siyo huko uliponijibu. Click to expand... Some tyms unatakiwa ujiongeze kama mtu akikosea kdgo kuandika
Konda wa bodaboda JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,981 Reaction score 4,172 Dec 22, 2014 #60 egentle said: Some tyms unatakiwa ujiongeze kama mtu akikosea kdgo kuandika Click to expand... Mkuu some tyms nayo ni kambi ya jkt? ipo wapi hiyo?
egentle said: Some tyms unatakiwa ujiongeze kama mtu akikosea kdgo kuandika Click to expand... Mkuu some tyms nayo ni kambi ya jkt? ipo wapi hiyo?