Simbamteme
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 784
- 2,063
Jamani wadau,nimeenda ofisi za wilaya ya ilala nkakutana na watu nyomi na Cv zao,kumuuliza mmoja wao akanambia post za JKT kwa watu wa form 6(freshers) zimetoka..So changamkien kwa wale mnaozitaka..nawasilisha...