maria asali
Member
- Mar 17, 2016
- 12
- 0
Mkuu, jeshini kwa sasa kuna figisu sana na JKT kwa kujitolea baada ya mafunzo unakaa 2yrs kusubiri jina.
Depo la mwisho mwaka jana lilikuwa na figusu sana sijui utawala mpya wa Mabeyo.
Kiufupi elimu yako ni kubwa na very marketing unaweza kupta ajira na ukasahau jeshi.
However nakusapoti sana ukiingia jeshini fani yako ni dili sana
gender yako inatakiwa sana jeshini nowdays.
NB
Kama upo Dar nenda makao makuu kabla hayajahia Dodoma. Shuka Muhimbili njia kama unaenda masaki barabara ya pili kutoka ile ya Don Bosco ifuate kuna geti la nyuma pale waambie wale was mlangoni hawana noma watakuelekeza kwa muajiri mkuu was jeshi ni kanali mmoja hivi hana shida kama wanahitaji accountant atakuweka ktk waiting list. Hii ilishamsaidi mtu wangu was karibu try this
Unaulizia unazo sifa za kujiunga JKT?Naomba kujuzwa kwa anaofahamu nafasi za jkt mikoani zinatoka lini??
Mkuu laki saba parefu sana aisee but nimesikia tetesi kuwa watatoa nafasi mwezi wa 4 ila mchakato utachukua mwezi mmoja so watu wataingia makambini mwezi wa 5Tulia mkuu bado sana hawa walioenda wamefungua kozi juzi tu watamaliza around June 2017 tegemea nafasi kutoka ni mwezi wa saba andaa pesa ya kuhonga isiyopungua laki saba
Vipo vingi sana hasa vikosi vya jktTafadhali naomba kuuliza wana JF, hivi upande wa mifugo jeshini, mean kuna vitengo vya mifugo kwa mtu aliesomea udaktari wa mifugo?
Sana vipo vingi sana mkuu wewe andaa laki saba ya kuhonga kuingia jakata unaenda kula lifeTafadhali naomba kuuliza wana JF, hivi upande wa mifugo jeshini, mean kuna vitengo vya mifugo kwa mtu aliesomea udaktari wa mifugo?
Nakuambia ukweli mkuu ukiwa na laki saba keshi huwezi koswa chance ya Jakarta huo ndoo ukweli huamini wewe tumia njia halali utakuja kuniambiaHaaaa aisee laki saba parefu sana mkuu but nimesikia tetesi kuwa mwezi wa ta
Mkuu laki saba parefu sana aisee but nimesikia tetesi kuwa watatoa nafasi mwezi wa 4 ila mchakato utachukua mwezi mmoja so watu wataingia makambini mwezi wa 5
Umesikia kutoka wapi?Haaaa aisee laki saba parefu sana mkuu but nimesikia tetesi kuwa mwezi wa ta
Mkuu laki saba parefu sana aisee but nimesikia tetesi kuwa watatoa nafasi mwezi wa 4 ila mchakato utachukua mwezi mmoja so watu wataingia makambini mwezi wa 5
Bila pesa uhakika dakika wa kwenda jeshini ni 0.1% utasubiri sanaHhahha ati andaa laki saba
Jeshi sikuhizi limekuwa lakuhonga honga sana pesa mbele
Haaaa haaaa hivi ni kweli au???Bila pesa uhakika dakika wa kwenda jeshini ni 0.1% utasubiri sana
Una level gani ya elimu??Tafadhali naomba kuuliza wana JF, hivi upande wa mifugo jeshini, mean kuna vitengo vya mifugo kwa mtu aliesomea udaktari wa mifugo?
Subiri kama utaonaHaaaa haaaa hivi ni kweli au???