NAFASI ZA JKT 2019 ZIMETOKA

NAFASI ZA JKT 2019 ZIMETOKA

Kwanini una certificate?umeshindwa kuwa hata na kadegree?
Mkuu majukumu kidogo yamenikaba although kwa umri wangu bado naitaj shule but nahangaika home mimi ndio baba na ndio mama kimajukumu nilifiwa na baba yangu 2013 baada ya kumaliza o,level ndio ugumu ukaanzia apo nitafute pesa ya ada chuo pale Tia apo kama unavojua nilikuwa nafanya biashara ya fenicha keko apo sasa kama unavojua pesa ya maskini uwepo pale ambapo na yeye yupo yani nikiwa chuo nasoma na uku pesa hakuna maana biashara inaitaj production mfano nikiuza kabati niandae lingine bila ya kuandaa ile pesa naitumia kama ada chuo na mtaji ukikata maana na ada imekata pia yani changamoto nimeaumua kuishia apa ila ndio ivo biashara yangu ndogo ndio maisha yangu iyo iyo ada iyo iyo kodi ya nyumba iyo iyo niingalie familia ya wadogo zangu watano nilioachiwa na late father but in any means natamani kurudi chuo but changamoto pesa.Nilishindwa kujigawa uku nitafute ada kupitia biashara iyo ya fenicha na nikibase upande mmoja mwinginw unakufa let say nimebase katika masomo ningeua biashara kwa maana mm sipo in the busness field ada ningepata wapi na maisha yangeendaje pale chuo bila pesa wangenifukuza tu na ningebase katika biashara tuu na chuo kidogo maana ningekuqa natoa pesa za bure na ningediscontinue yote kwa yote mkuu naumia kutokuendelea na masomo ila sina namna but sikati tamaa still dreaming to have bachelor degree.
 
Hizi nafasi za mwaka huu vipi tena mbona kama zimekaa ki upigaji upigaji hivi maana hata kwenye website ya jkt hakuna hilo tangazo ila mtaani matangazo yapo na wahusika wamekaa kimya kutoa ufafanuzi wowote au ndo wameamua waache ili vijana wapigwe mizinga ya pesa.?
 
Hizi nafasi za mwaka huu vipi tena mbona kama zimekaa ki upigaji upigaji hivi maana hata kwenye website ya jkt hakuna hilo tangazo ila mtaani matangazo yapo na wahusika wamekaa kimya kutoa ufafanuzi wowote au ndo wameamua waache ili vijana wapigwe mizinga ya pesa.?
na ukijichanganya lazima upigwe hakuna namna😂
 
Nafasi ndo Hz bt nimeshakuwa mhenga tena ngoja niwaachie madogo
 
Write your reply...wakuu naomb niulize hivi hio miak 2 y mafunzo waliosem y jkt ukianz mafunz lazm umlze yote hio miak 2 et jamn??kw sabb nahic km nawez ,pta Chanel au fursa y kufny kitu kingne ndan y hio miak miwil kabl haij kmlka
 
Back
Top Bottom