F FABIAN HERMAN Member Joined Feb 17, 2015 Posts 11 Reaction score 1 Mar 17, 2015 #1 Jamani wana jf ninaomba kuuliza nafasi za jeshi zinatoka lini?msaada wenu ni muhimu sana kwangu.
hyusuph JF-Expert Member Joined Dec 5, 2013 Posts 1,655 Reaction score 692 Mar 17, 2015 #2 Ukipata majibu mkuu naomba uni pm nami nina ndugu yangu anasubiria post izoizo maana huwa hawazitangazi izo wanafanya kimyakimya
Ukipata majibu mkuu naomba uni pm nami nina ndugu yangu anasubiria post izoizo maana huwa hawazitangazi izo wanafanya kimyakimya
M My God New Member Joined Jan 28, 2015 Posts 4 Reaction score 0 Mar 18, 2015 #3 Wanachaguliwa kupitia JKT si vinginevyo.