Nafasi za Epidemiologists on covid-19

DAD'S SON

JF-Expert Member
Nov 18, 2015
392
466
Wasalaam,

Naomba nianze moja kwa moja maana ya epidemiology na epidemiologist

Epidemiology- the branch of medicine which deals with the incidence, distribution, and possible control of diseases and other factors relating to health(ni tawi na utabibu ambalo linahusika na usambaaji,uzuiaji wa magonjwa/maradhi na mambo mengine yahusuyo afya).

Epidemiologist-ni mtu naehusika na elimu ya epdemiolojia.

Kwanini nimetoa maana izo mbili hapo juu??!.
Hii ni kwa sababu mambo yanayoendelea sana sio ya kiprofessional kabisa kila mtu anasema lake juu ya kujirinda na corona kimsingi tuna wataalumu ambao wanahusika na mambo ya disease control(epidemiologist) kwanini wasipewe nafasi zao wafanye kazi??

Wanasiasa wanaingilia fani za watu kwanini wasitulie watu waingie kazini waje na mipango mkakati wa kuzuia na kutotomeza au kupunguza corona??!.

Weka hii kichwani"a doctor can not represent you in law suit,lawyer can't perform brain surgery". Kwa misemo hiyo basi wanasiasa waache siasa kwenye hili achie team za wataalamu wa afya wafanye kazi tena muwawezeshe,we need to set some limits(boundaries).

Faida ya kuwapa nafasi maepidemioligists
1.wataweza kutusaidia kupunguza maambukizi.
2.Mbinu sahihi za kufanya tujirinde
3.kuweza pata taarifa sahihi za maambukizi.

Asante kwa kusoma tarifa hii.
 
Mkuu mbona kama una utaalamu unaweza kuendelea kutoa somo kitaalamu..
Naona ule uzi wa jamaa aliosema colonya inasambazwa kwa air conditioner za gari au majumbani na Kuna swali la msingi uliuliza pale..
Ila mods wamepita nao kimya kimya
 
Mkuu mbona kama una utaalamu unaweza kuendelea kutoa somo kitaalamu..
Naona ule uzi wa jamaa aliosema colonya inasambazwa kwa air conditioner za gari au majumbani na Kuna swali la msingi uliuliza pale..
Ila mods wamepita nao kimya kimya
Hahaha alafu sijarud kuuchek hahaha ila jf inapoteza radha every single day.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wataalam wawapi hao unaowazungumzia, ni hawa wanaokimbia wagonjwa au?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mtaalamu anaekimbia majukumu yake,ulishafuatia kwanini wamekimbia??!. Jibu ni jepesi sana hakuna vifaa vya kujirinda na virus(personal protective equipment aka PPE),hata kama ni ww apart from maslai kazini lazima uwe na uhakika wa usalama wako na mazingira ya kazi unapofanyia.So it's your turn to think big

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam,

Naomba nianze moja kwa moja maana ya epidemiology na epidemiologist

Epidemiology- the branch of medicine which deals with the incidence, distribution, and possible control of diseases and other factors relating to health(ni tawi na utabibu ambalo linahusika na usambaaji,uzuiaji wa magonjwa/maradhi na mambo mengine yahusuyo afya).

Epidemiologist-ni mtu naehusika na elimu ya epdemiolojia.

Kwanini nimetoa maana izo mbili hapo juu??!.
Hii ni kwa sababu mambo yanayoendelea sana sio ya kiprofessional kabisa kila mtu anasema lake juu ya kujirinda na corona kimsingi tuna wataalumu ambao wanahusika na mambo ya disease control(epidemiologist) kwanini wasipewe nafasi zao wafanye kazi??

Wanasiasa wanaingilia fani za watu kwanini wasitulie watu waingie kazini waje na mipango mkakati wa kuzuia na kutotomeza au kupunguza corona??!.

Weka hii kichwani"a doctor can not represent you in law suit,lawyer can't perform brain surgery". Kwa misemo hiyo basi wanasiasa waache siasa kwenye hili achie team za wataalamu wa afya wafanye kazi tena muwawezeshe,we need to set some limits(boundaries).

Faida ya kuwapa nafasi maepidemioligists
1.wataweza kutusaidia kupunguza maambukizi.
2.Mbinu sahihi za kufanya tujirinde
3.kuweza pata taarifa sahihi za maambukizi.

Asante kwa kusoma tarifa hii.
Amewaondoa makatibu wakuu wa wizara ya afya ameweka wajomba zake hawezi kumsikia mtu tuna mtu wa hovyo kabisa pale juu haijapata kutokea.
 
Back
Top Bottom