Nafasi ya Spika wa Bunge CCM

Nafasi ya Spika wa Bunge CCM

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
12239486_919602004798620_2932916321454152241_n.jpg
 
Mabadilikooooo.....!! : mtayasikilizia miferejini.
 
huyo huyo alieamsha vurumai jimboni kwake kwa kupiga watu.... haya ss wabunge kazi kwenu mkawe mkawaone akina CHEKA wawafue
 
Kweli tunaisoma namba, yaani hadi speaker wa bunge tunawekewa na magamba hata kama hana sifa ila magamba wakisha amua basi hakuna awezaye kupinga. Mungu ibariki tanganyika. Yaani ndugai aongoze bunge kisa magamba wameamua? Swiss me!!!!
 
Ndugai? Na aibu zote zile za kumpiga mwenzie na rungu.Kweli CCM ni ile ile. Halafu jamaa lina tabia ya kukurupuka kama faru.
 
Back
Top Bottom