Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 710
- 1,610
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uhamisho na kuwapangia vituo mabalozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, mabalozi waliopangiwa vituo ni kama ifuatavyo:-
(i) Balozi Togolani Edriss Mavura amepangiwa kuwa Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, New York;
(ii) Balozi Mhandisi Cyprian John Luhemeja amepangiwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Zambia;
(iii) Balozi Salim Othman Hamad amepangiwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro;
(iv) Balozi Maulidah Bwanakheri Hassan amepangiwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Oman;
(v) Balozi Dkt. Suleiman Haji Suleiman amepangiwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini China;
(vi) Balozi Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule amepangiwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Cuba;
(i) Balozi Togolani Edriss Mavura amepangiwa kuwa Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, New York;
(ii) Balozi Mhandisi Cyprian John Luhemeja amepangiwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Zambia;
(iii) Balozi Salim Othman Hamad amepangiwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro;
(iv) Balozi Maulidah Bwanakheri Hassan amepangiwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Oman;
(v) Balozi Dkt. Suleiman Haji Suleiman amepangiwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini China;
(vi) Balozi Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule amepangiwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Cuba;