Lazam Emanuel
Member
- May 8, 2014
- 7
- 0
Natafuta nafasi ya kujitolea mkoani mbeya, nina shahada ya uchumi.
Naombeni ushirikiano wenu wana JF
Naombeni ushirikiano wenu wana JF
Natafuta nafasi ya kujitolea mkoani mbeya, nina shahada ya uchumi. Naombeni ushirikiano wenu wana jf
njoo hapa jiji upande wa uchumi ulizia mashiku nitakusaidia
Kumbe wewe ni Mashiku
nashukuru brother, jumatatu mapema nafika haponjoo hapa jiji upande wa uchumi ulizia mashiku nitakusaidia
njoo hapa jiji upande wa uchumi ulizia mashiku nitakusaidia