Nafasi ya kazi ya Umeneja

beko

Senior Member
Apr 11, 2011
189
91
Natafuta meneja wa kusimamia mradi wa kusaga, kukoboa,kupack na kuuza nafaka. Anatakiwa awe na uzoefu walao wa miaka miwili katika kazi hiyo hapa Dar es salaam. Awe na elimu walao ya kidato cha nne. tuma maombi box 79989 Dar es Salaam piga simu 0714432979
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom