Habari..
Ninahitaji binti kwa ajili ya kazi ya saloon ya kike saloon ipo chuo kikuu mzumbe(Morogoro) sifa kuu awe na nidhamu na ajue kusuka mitindo mingi Mwenye uhitaji ani PM tafadhari kwa maelezo zaidi.
Ahsanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.