kimpango
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 600
- 716
Kama mjuavyo hali ya ajira duniani kote na kwingineko ni tete.
Ndugu yangu ameitwa kwenye usaili wa nafasi ya shift incharge, ninaomba mumsaidie. Kwa ambaye ameitwa kufanya usaili kwa nafasi hiyo ya shift incharge (msimamizi wa mizani) TANROADS.
Ameomba wadau mliowahi kufanya usaili wa aina hiyo mumpe lecture kidogo yeye pamoja na wenzake either kwa lecture huru au kwa kum pm. Maana kazi inahitaji degree yoyote so anashindwa kujua ajiandae na sehemu gani ukizingatia ni kichwa but shule alishamaliza siku nyingi (2012) akahangaika kutafuta ajira akakosa na hii ni interview yake ya pili .
Shukrani na mbarikiwe sana.
Ndugu yangu ameitwa kwenye usaili wa nafasi ya shift incharge, ninaomba mumsaidie. Kwa ambaye ameitwa kufanya usaili kwa nafasi hiyo ya shift incharge (msimamizi wa mizani) TANROADS.
Ameomba wadau mliowahi kufanya usaili wa aina hiyo mumpe lecture kidogo yeye pamoja na wenzake either kwa lecture huru au kwa kum pm. Maana kazi inahitaji degree yoyote so anashindwa kujua ajiandae na sehemu gani ukizingatia ni kichwa but shule alishamaliza siku nyingi (2012) akahangaika kutafuta ajira akakosa na hii ni interview yake ya pili .
Shukrani na mbarikiwe sana.