Nafasi ya kazi Mwalimu wa Physics

Anahitajika Mwalimu wa Physics

Tunatafuta mwalimu wa Physics
Vigezo: Awe amemaliza chuo kikuu chochote nchini Tanzania. Kwa mawasiliano zaidi.+255763855365

Asanteni
Kwa hiyo sisi tulio ishia form 2 ndiyo basi tena japo tuna uwezo kuliko hao maprofesa 🙂
 
Wataita tu mpaka mainjinia maana walimu Wa phy now ni adimu saana Kuna shule naifahamu mshahara ni million 1 ila Toka mwezi Wa kwanza mpaka Leo Bado hawajapata mwalimu Wa phy
 
Wataita tu mpaka mainjinia maana walimu Wa phy now ni adimu saana Kuna shule naifahamu mshahara ni million 1 ila Toka mwezi Wa kwanza mpaka Leo Bado hawajapata mwalimu Wa phy
Shule gan hiyo?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…