Nimesoma kwenye gazeti la Daily News toleo namba 65 la November 30, 2009 ambapo kuna tangazo la kazi, anatafutwa CEO wa DAWASCO, je Alex Kaaya ametemwa?
Maana siyo rahisi nafasi itangazwe wakati kuna mtu kwenye nafasi hiyo.
Mwenye taarifa rasmi tafadhali atuhabarishe na mwenye kuchangamkia nafasi hiyo aanze kuandaa CV yake maana dead line ni wiki tatu kuanzia tarehe ya jana.
Maana siyo rahisi nafasi itangazwe wakati kuna mtu kwenye nafasi hiyo.
Mwenye taarifa rasmi tafadhali atuhabarishe na mwenye kuchangamkia nafasi hiyo aanze kuandaa CV yake maana dead line ni wiki tatu kuanzia tarehe ya jana.