Ahyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 1,678
- 4,012
Hizi kozi fupi tu za kufundishwa lugha ada yake ni zaidi ya huo mshahara.. halafu unakuta kazi yenyewe mazingira magumu, bosi kelele kila sikuAnajua ada Bei gani?
Hizi kozi fupi tu za kufundishwa lugha ada yake ni zaidi ya huo mshahara.. halafu unakuta kazi yenyewe mazingira magumu, bosi kelele kila sikuAnajua ada Bei gani?
Nyani NgabuMtaalamu ni Intelligent hapa 🤣🤣owaa jobless pro max ungenge si upo
Na hapa sio uingereza. Nenda uingereza chukua huyo kichaa mlete temeke muajiriHata kichaa uingereza anaongea hiyo lugha, acha utumwa wa akili.
Yaaah hata kujua kichina ni elimu hata kujua kiswahili ni elimu mkuu kuna watu wanajua kiswahili fasaha na hii lugha imewapa kazi nzuri majuu huko , imekuaje hadi leo hujui elimu ni nini ? Why ?Kwani kujua kiingereza ni elimu?
Mnataka English accent yani awe amesoma Feza au XXX International School alafu Mshahara laki mbili ? Tafuta Wajaluo waliosoma Kenya wako vijiweni huko Rorya uwalipie nauli ya Kwenda Dar ila sio watemeke.Nafasi ya kazi: Umri chini ya miaka 25, anayejua kusoma Kiingereza vizuri na ana English Accent nzuri ya uhakika.
Mshahara ni laki mbili na utaongezeka kulingana na ufanisi.
Akiwepo Wilaya ya Temeke ni vizuri zaidi. Wasiliana nasi kwa Whatsapp simu no 0626715721.
Hapa ni Tanzania na Kiingereza sio lugha yetu mama. Ni lugha tunayojifunza kwa kulipia ada. Je huko Uingereza ukimkuta Mwingireza anaongea Kiswahili fasaha na chenye lafudhì nzuri, atakufanyia kazi kwa shilingi 200k kwa mwezi?Hata kichaa uingereza anaongea hiyo lugha, acha utumwa wa akili.
Wajinga wengi hawaujui huu ukweli,kiingereza Kwa bongo ni elimu maana ni lazima uisomee.Hapa ni Tanzania na Kiingereza sio lugha yetu mama. Ni lugha tunayojifunza kwa kulipia ada. Je huko Uingereza ukimkuta Mwingireza anaongea Kiswahili fasaha na chenye lafudhì nzuri, atakufanyia kazi kwa shilingi 200k kwa mwezi?
Haya naomba sasa uuelezee huo utumwa wangu wa akili.
Utajuaje kiingereza bila elimuKwani kujua kiingereza ni elimu?
Oooh Mungu baba wasaidie wanao washinde na hiliNafasi ya kazi: Umri chini ya miaka 25, anayejua kusoma Kiingereza vizuri na ana English Accent nzuri ya uhakika.
Mshahara ni laki mbili na utaongezeka kulingana na ufanisi.
Akiwepo Wilaya ya Temeke ni vizuri zaidi. Wasiliana nasi kwa Whatsapp simu no 0626715721.
Unajuaje huenda maongezi hayo yatakuwa yanafanyika lisaa limoja kwa siku nne kwa mwezi ?!!!!ila waajiri mnadharau sana, yaani ajue kuongea kiingereza tena kwa ufanisi halafu mshahara laki mbili..? gharama za maisha zimepanda... Laki mbili inaishia kwenye nauli tu na kula
Umeambiwa uende whatsapp bado hujashtuka tu?Ongeza salary ifike hata 700,000/= tukuletee watu wanapiga Kimalkia kama wapo Scotland.
Tapeli huyo nimemfata whatsap, nimedhihirisha ni tapeliNina kijana angu Yuko vzr kasoma St hz Kama utampa one m atafanya
Hata kichaa uingereza anaongea hiyo lugha, acha utumwa wa akili.
We jua sio level zako piga kimya. Ungekua mtu wa kujichanganya na watu uone wanavyoishi hata usingeona ajabuila waajiri mnadharau sana, yaani ajue kuongea kiingereza tena kwa ufanisi halafu mshahara laki mbili..? gharama za maisha zimepanda... Laki mbili inaishia kwenye nauli tu na kula