Huo ndio ujinga pia, utafute refa TPDF, kwa nia ipi? Kazi yenyewe nikupambana na akina makenga kwny misitu ya DRC, Machar S/Sudan na wengine wengi afu utafute refa. Kwahiyo hata ukiamriwa kwenda mstuni utamwambia huyo refa asikupeleke. Huu ni upuuzi unaoizamisha tz. Refa hadi siku Mungu anakuja utataka refa. Siku ukichapwa shaba Darfur uje utuambie huyo refa alivyokufaa. Refa hadi kaburini atakupelekea kitanda. Vyuuuuuuuuuuxxxxx!