Gibeath-Elohimu
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 489
- 700
Wadau embu naomba msaada hapa....jina langu nimeliona,but si ktk category niliyoombea( ya LAW,ila kwenye Human resource management).Nimeulizia mtu wa utumishi kaniambia niibuke tu kwenye interview!....wadau hii siyo kwamba ni kufanana kwa majina au??..mchango wenu wadau?
Wala msikate tamaa kila mtu ana siku yake. Sitasahau mimi nilipokuwa natafuta kazi, nikaitwa mahali nikaenda, ikafanyika interview, baada ya interview nikaelezwa kuwa ni mimi niliyepata nafasi hiyo, watanijulisha rasmi. Nikarudi nyumbani na matumaini makubwa baadaye kimya kama wiki mbili wakati walisema watanijulisha wiki hiyo hiyo, siku moja ghafla nilikutana na jamaa aliyekuwa kwenye panel akasema mmoja wa wenzengu alikuwa ni mtoto wa mjumbe wa bodi hivyo kapewa yeye, ingawa ukweli ni mimi niliyeshinda!. Frankly speaking niliumia sana hata hivyo nikaendelea kuomba sehemu nyingine na nilipata naweza sema mambo yanaenda vizuri tu.
Hivyo jipeni moyo endeleeni kuomba -pande zingine na kujikita katika ujasiria mali / kama kuna kazi ya kujitolea fanya mfano shule za kata hazina walimu kama ipo karibu na kwenu omba kufundisha utapata uzoefu fulani na pia kupata wasaha wa kuzungumza na watu wengine ambao waweza kukusaidia, pia kama waweza kujiajiri fanya hivyo tu.
Kila la kheri.
Wadau embu naomba msaada hapa....jina langu nimeliona,but si ktk category niliyoombea( ya LAW,ila kwenye Human resource management).Nimeulizia mtu wa utumishi kaniambia niibuke tu kwenye interview!....wadau hii siyo kwamba ni kufanana kwa majina au??..mchango wenu wadau?
Duh, kwani upo nje ya dsm?
Hata mimi nimeona jina langu ila hata category niliyopo siifahamu..ingawa niliomba upande wa computer science.
BOFYA HAPA UJIONEE MWENYEWE INVITATION FOR APTITUDE TEST
Namshukuru Baba yetu, Mungu Jehova mfalme anayeweza kuwanyanyua walio wanyonge kama mimi. Ni kweli bado safari ni ndefu sana na kuitwa katika usaili huu haina maana nimekwisha ipata nafasi hii, ila naamini Mungu huyu anayewanyeshea mvua wenye haki na wasio haki ataendelea kuwa mtetezi wangu.
Ahsante mfalme na nakuomba uniwezeshe katika mtihani huu mgumu wa 17/01/2014 ulio mbele yangu.
me nliambatanisha kila kitu walichotaka na nlicertify vyeti
mikazó;8379901 said:Kuitwa kwnye interview sio ndo kupata kazi wadau
Wala msikate tamaa kila mtu ana siku yake. Sitasahau mimi nilipokuwa natafuta kazi, nikaitwa mahali nikaenda, ikafanyika interview, baada ya interview nikaelezwa kuwa ni mimi niliyepata nafasi hiyo, watanijulisha rasmi. Nikarudi nyumbani na matumaini makubwa baadaye kimya kama wiki mbili wakati walisema watanijulisha wiki hiyo hiyo, siku moja ghafla nilikutana na jamaa aliyekuwa kwenye panel akasema mmoja wa wenzengu alikuwa ni mtoto wa mjumbe wa bodi hivyo kapewa yeye, ingawa ukweli ni mimi niliyeshinda!. Frankly speaking niliumia sana hata hivyo nikaendelea kuomba sehemu nyingine na nilipata naweza sema mambo yanaenda vizuri tu.
Hivyo jipeni moyo endeleeni kuomba -pande zingine na kujikita katika ujasiria mali / kama kuna kazi ya kujitolea fanya mfano shule za kata hazina walimu kama ipo karibu na kwenu omba kufundisha utapata uzoefu fulani na pia kupata wasaha wa kuzungumza na watu wengine ambao waweza kukusaidia, pia kama waweza kujiajiri fanya hivyo tu.
Kila la kheri.
Wala msikate tamaa kila mtu ana siku yake. Sitasahau mimi nilipokuwa natafuta kazi, nikaitwa mahali nikaenda, ikafanyika interview, baada ya interview nikaelezwa kuwa ni mimi niliyepata nafasi hiyo, watanijulisha rasmi. Nikarudi nyumbani na matumaini makubwa baadaye kimya kama wiki mbili wakati walisema watanijulisha wiki hiyo hiyo, siku moja ghafla nilikutana na jamaa aliyekuwa kwenye panel akasema mmoja wa wenzengu alikuwa ni mtoto wa mjumbe wa bodi hivyo kapewa yeye, ingawa ukweli ni mimi niliyeshinda!. Frankly speaking niliumia sana hata hivyo nikaendelea kuomba sehemu nyingine na nilipata naweza sema mambo yanaenda vizuri tu.
Hivyo jipeni moyo endeleeni kuomba -pande zingine na kujikita katika ujasiria mali / kama kuna kazi ya kujitolea fanya mfano shule za kata hazina walimu kama ipo karibu na kwenu omba kufundisha utapata uzoefu fulani na pia kupata wasaha wa kuzungumza na watu wengine ambao waweza kukusaidia, pia kama waweza kujiajiri fanya hivyo tu.
Kila la kheri.