Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 541
Naomba kujua naaply vipi mafunzo ya jeshi? na aplication wanaanza lini?
Hata mimi pia ningependa kujiunga lakini mwezi wa pili walipotangaza walitoa age limit mwisho ilikuwa miaka 23 tu nikafeli sijui kama mwaka huu watatangaza tena
Degree holder tulioomba JKT mwez wa pili kwa kweli tulitolewa nduki pale ilala, daah sitasahau
jesh ni manua work degree ni auto/mental plan or work
Degree holder tulioomba JKT mwez wa pili kwa kweli tulitolewa nduki pale ilala, daah sitasahau
ha haa hz zarau mkuu
samahan mkuu kama nimekukwaza,lakini degree utahtaji kukaa ofisin lakini jeshini kukaa mwiko,hvyo wanapenda form 4 coz wanajua timbwiri linawafaa.