Nafanya usafi majumbani

Nafanya usafi majumbani

Usiku unaweza kufanya kazi... ??? Na kulala huku huku
Habari,

Mimi ni mdada nipo maeneo ya Tegeta natoa huduma ya kufanya usafi majumbani, kama unahitaji kufua, kuosha vyombo, kudeki n.k.

Nafanya usafi na kuondoka.

Malipo sio chini ya 10,000 au tukaelewana kutokana na umbali na ukubwa wa kazi

PM kama unahitaji.
 
Habari,

Mimi ni mdada nipo maeneo ya Tegeta natoa huduma ya kufanya usafi majumbani, kama unahitaji kufua, kuosha vyombo, kudeki n.k.

Nafanya usafi na kuondoka.

Malipo sio chini ya 10,000 au tukaelewana kutokana na umbali na ukubwa wa kazi

PM kama unahitaji.
"Aombaye atapewa"
Mungu akakupe hitaji la Moyo wako.
 
Back
Top Bottom