BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
vunja ukimya, sema nae.
Imeletwa kwenu kwa hisani ya watu wa obama
Imeletwa kwenu kwa hisani ya watu wa obama
Jamani naombeni msaada, hivi mtu kama huyu nyie mnamchukuliaje? tulikuwa ndo tumeanza tu kuongea kwa njia ya simu mimi na mpenzi wangu ambae nkonae mbali, hata dakika tano hazikuisha akanambia "kata simu kuna mtu anapiga" hapo akatumia zaidi ya lisaa kuongea anadai ni kaka yake,mi nkaamua kumpotezea, kiukweli ameniboa na nimeamua kuzima simu kabisa au nimekosea?
Simu nimeiwasha now, na ametuma text kuwa "Beb stop that,sleep tit". Ila mwenzenu hata simuelewi.
Jamani naombeni msaada, hivi mtu kama huyu nyie mnamchukuliaje? tulikuwa ndo tumeanza tu kuongea kwa njia ya simu mimi na mpenzi wangu ambae nkonae mbali, hata dakika tano hazikuisha akanambia "kata simu kuna mtu anapiga" hapo akatumia zaidi ya lisaa kuongea anadai ni kaka yake,mi nkaamua kumpotezea, kiukweli ameniboa na nimeamua kuzima simu kabisa au nimekosea?
Jamani naombeni msaada, hivi mtu kama huyu nyie mnamchukuliaje? tulikuwa ndo tumeanza tu kuongea kwa njia ya simu mimi na mpenzi wangu ambae nkonae mbali, hata dakika tano hazikuisha akanambia "kata simu kuna mtu anapiga" hapo akatumia zaidi ya lisaa kuongea anadai ni kaka yake,mi nkaamua kumpotezea, kiukweli ameniboa na nimeamua kuzima simu kabisa au nimekosea?
mh! mnanishauri nifanye nini? maana naogopa kuendelea kupata maumivu zaidi.
Mwenzenu nilikua nalia usiku mzima kisa mwanamke....usiombe hayo makitu yakukute bhana
Jamani naombeni msaada, hivi mtu kama huyu nyie mnamchukuliaje? tulikuwa ndo tumeanza tu kuongea kwa njia ya simu mimi na mpenzi wangu ambae nkonae mbali, hata dakika tano hazikuisha akanambia "kata simu kuna mtu anapiga" hapo akatumia zaidi ya lisaa kuongea anadai ni kaka yake,mi nkaamua kumpotezea, kiukweli ameniboa na nimeamua kuzima simu kabisa au nimekosea?
Kumbe hata nyie wanaume mnaliaga, rahaaaaa
lol