Jamani naombeni msaada, hivi mtu kama huyu nyie mnamchukuliaje? tulikuwa ndo tumeanza tu kuongea kwa njia ya simu mimi na mpenzi wangu ambae nkonae mbali, hata dakika tano hazikuisha akanambia "kata simu kuna mtu anapiga" hapo akatumia zaidi ya lisaa kuongea anadai ni kaka yake,mi nkaamua kumpotezea, kiukweli ameniboa na nimeamua kuzima simu kabisa au nimekosea?