Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,634
Ugomvi wa baba na mama,siwezi kuingilia kwa sababu ningali mdogo,wapo wazee,majirani na ndugu watakaosuluhisha!
Ingawa rafiki zangu wananilaumu,eti siwajali wazazi wangu tena siwajali kwa shida na mambo yao,sio kweli mimi nasema,ukweli ninao mwenyewe.
NITAWAELEZA;
Hata kama baba ndie mwenye kosa nifanye nini, hata kama mama ndie mwenye kosa niamueje mie! Nisije kosa radhi ya baba nisije kosa radhi ya mama!
#Naepuka Lawama,naepuka lawama,miimi sio mtoto wa upande mmoja, nisimame upande gani mwenzenu?Nisije nikaharibikiwa!
Ingawa rafiki zangu wananilaumu,eti siwajali wazazi wangu tena siwajali kwa shida na mambo yao,sio kweli mimi nasema,ukweli ninao mwenyewe.
NITAWAELEZA;
Hata kama baba ndie mwenye kosa nifanye nini, hata kama mama ndie mwenye kosa niamueje mie! Nisije kosa radhi ya baba nisije kosa radhi ya mama!
#Naepuka Lawama,naepuka lawama,miimi sio mtoto wa upande mmoja, nisimame upande gani mwenzenu?Nisije nikaharibikiwa!