Naenda UJERUMANI nikuletee nini??

Naenda UJERUMANI nikuletee nini??

bampami

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
5,700
Reaction score
4,126
Watanzania bwana! Kila unapoenda hawakosi cha kukuagizia Ukienda mwanza utasikia utuletee samaki! Ukienda Mbeya tuletee mchele na maparachichi! Ukienda Tanga tuletee machungwa! Ukienda Moshi tuletee kahawa! Ukienda Tabora tuletee asali! Ukienda Morogoro tuletee magimbi! Ukienda Kigoma utasikia tuletee mawese! Ukienda Mtwara tuletee korosho! Ukienda Bukoba tuletee ndizi! Ukienda Zanzbar tuletee tv au deki! Ukienda Singida tuletee mafuta ya alizeti! mbaya zaidi sasa ukienda Iringa utasikia tuletee msichana wa kazi. Dah! Mi naenda Ujerumani sijui nikuletee nini.
 
Niletee kapu la magoli watakayofungwa Man U!
 
nileete yule mtangazaji mwenye sauti ya pekee wa DW, Ummy Rahael au hata ukipata sauti yake pouwa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom