Naenda mwendo mrefu nikitumia kondom

Naenda mwendo mrefu nikitumia kondom

Wadau niaje?Nina tatizo la kwenda mwendo mrefu nikitumia kondom.naweza nikaenda zaid ya saa cha kwanza natumia dakika 30 hivi.naona ni tatizo Kwan inafikia hatua natoka mijasho mwili mzima kama nimemwagiwa maji.Pia inafikia hatua nabadili kondom maana inaisha yale mafuta naishia kumuumiza mwenzangu.Hali hii hunifanya niishie kuuza mechi ili niweze tu kukojoa.Nikienda dry nachukua muda mfup kama 20 dakika hivi.Hali hii inanifanya niwe katika hatari ya kuambukizwa Ukimwi ma wakati mwingine naogopa kabisa kuwa na msichana ambae sijapima nae.Msaaada jamani nifanyeje?

For Promotional Use Only.
 
Acha vyote, kwenda kavu na kutumia kondom kama huna mke acha tu, kwani ni chakula? Acha tu...tafta hela na upate mke, ya nini kujiletea mashaka kwenye maisha yako?
 
watumia kondom kwa mkeo mnafanya family planing au wafanya ZINAA?
 
Kwenda mwendo mrefu ndo ujanja??? Si tungevaa rambo ss
 
Back
Top Bottom