Naelekea kunasa naombeni ushauri

Akili kumkichwa "Bongo Dar Es Salaam - Prof J tf JD"
 
Sasa kama kadogo halafu kanakupigia wewe mtu mzima uende
na unaenda....kwa nini kasipate ujasiri?

halafu ilikuwaje?ulitafuna meno huku kanakupa live kana kutaka?
Ha! ha! ha! Umeona eeh?!!! Halafu hajatueleza kama yeye yuko single, kaoa ama la? Yuko busy kushangaa ujasiri wa katoto na anaelekea kunasa!😕
 
kama ni kadogo au kakubwa achana nacho..vinatumwaga hvyo..na utarialize siku utakapovamiwa na watu watakaodai ni wazazi na kukupa kipondo au kukudai muyamalize kwa kuwapa ela.
Truuuu
 
Kuwa makini tu mazali ya mentali siku hizi yamepungua
 
Aise kweli kunasuka hapo kazi unayo.
 
Ukienda utakua huna akili timamu...Yani hiyo huhitaji akili ya chekechea kujua.
 
Tupiamo kapicha mkuuu
 
Shyeeeh...!!! watu bado mnajilipua kweli kumshauri wakati sired ishaingia 2nd trimester.

Cha msingi ulizeni...
Je ulinasa kweli mtegoni ukatekenywa rida?

Je kilainishi kilichotumika kilikuwa katika state ipi, liquid,solid au gas?

e.t.c
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…