mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,661
- 18,035
Leo Yanga almaarufu kama utopolo watakuwa na mechi muhimu na ngumu kwao dhidi ya biashara. Huku wakijua kuwa wakishindwa au kutoka sare itakuwa ndio mwisho wa kuongoza ligi kwa mwaka huu baada ya kesho jioni, nafikiri watakuwa radhi kufia uwanjani ili mradi tu wapate matokeo mazuri.
Kwa hiyo leo mashabiki wa utopolo tarajieni kutabasamu na mmalizie kabisa kutabasamu!! Maana mnamo katikati ya wiki ijayo mtasahau tabasamu jumla!! Wenye ligi yao washarudi!
Kwa hiyo leo mashabiki wa utopolo tarajieni kutabasamu na mmalizie kabisa kutabasamu!! Maana mnamo katikati ya wiki ijayo mtasahau tabasamu jumla!! Wenye ligi yao washarudi!