Nadhani ofisi ya katibu mkuu Chadema ina tatizo, tuendelee kama tulivyo?

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Naamini hata kama ni mimi ningekuwa ndiye Katibu mkuu wa Chadema kwa sasa, basi ningeuona uzembe wa dhahiri nilio nao. Uzembe ambao mimi kuwa nao unaendelea kukigharimu chama changu ninachokiongoza. Ningeamua kujitafakari ili nitoe nusura.

Tuwe wa kweli. Haiwezekani katibu mkuu yupo miaka mingi tu sasa bado hajajua kujisimamia kama katibu mkuu. Kweli huyu ni katibu mkuu wa chama kikubwa kama Chadema?

Intelijensia ya Chadema inaundwa chini ya ofisi ya katibu mkuu. Baada ya katibu mkuu "kufa" kisiasa na kiushawishi hiki chombo muhimu cha chama nacho kimekufa. Haiwezekani mfano Tundu Lissu pamoja na madhila aliyonayo bado anaonyesha kujituma kwa Chadema kuliko katibu mkuu ambaye yupo ofisini kila siku na mzima wa afya.

Kupooza kwa ofisi ya katibu mkuu chini ya Mashinji kumewafanya hata wasaidizi wake wawili ambao hapo kabla ya ujio wake walikuwa machachari sana lakini ghafla nao wamepooza! Hii kusema kweli ni kutokana na kukosa morali kutoka kwa boss wao. Mtu kama Mbowe huwezi kutegemea akafanya kila kitu ndiyo maana Chadema ilipokuwa chini ya Dr. Slaa ilikuwa kweli chini yake na alionyesha kulimudu vyema jukwaa la kisiasa Tanzania.

Hatuwezi kutoa kisingizio endelevu cha kuzuiwa kwa mikutano ya kisiasa. Hilo lipo kila sehemu, sasa ni wajibu wa kiongozi kujitoa kweli kweli. Kama ni kesi hata kina Slaa waliwahi kuzushiwa mpaka za kujaribu kumuua Zitto na bado walikomaa. Najikuta nikishangaa kesi moja aliyo nayo Mashinji pale Kisutu imemfanya aone kama ndiyo mwisho wa maisha! Lazima kugangamala.

Naamini Chadema kwa mara ya kwanza imempata katibu mkuu asiye sahihi kisiasa. Hata hivi leo tungekuwa na Benson Singo nadhani ingekuwa tofauti sana.Siasa za upinzani kwa Afrika nzima ni kupigana tena kweli kweli. Mtendaji mkuu wa chama ni lazima aonyeshe uhai kweli kweli.

Kwakweli Chadema ni lazima ione haja ya hali ya dharura.

Hata Lissu leo anasema kuwa Chadema yapo pia matatizo ya kujitakia na kwa uhakika kabisa pamoja na mengine pia anaigusia ofisi ya katibu mkuu ambayo imedhoofu isivyo kawaida!
 
mtoa hoja hii bila shaka wewe unaishi ughaibuni hujui chemistry ya kisiasa kwenye nchi yako kwa wakati huu,elewa kuwa chama tawala ccm ni chama dola sio chama cha kisiasa na hili hata kipofu analiona,waambie ccm wa level playing field tuone hali itakuaje?huwezi kuendesha chama cha kisiasa katika mazingira haya ya kikandamizi but muda na hostoria ni mwamuzi ipo siku tutaamuliwa na waamuzi hawa wa haki,president Mugabe ametangaza kuwa atapigia kura upinzani(nani aliamini haya miaka 2 iliyopita?) tuendelee na woga wetu hadi hapo generation shujaa itakapo pambana na hali hii wewe na mimi tuendelee kufweta mikia yetu na kuonyesha ushujaa kwenye key board.
 
Mashinji kapwaya lkn hamna muda mbaya kumfukuza kama kipindi hiki (ambapo wabunge wa Ukonga+Monduli+Ubungo+Arumeru +Kibamba wako njia moja kuondoka.) Tumpe muda mpaka baada ya uchaguzi ujao
 
Naamini hata kama ni mimi ningekuwa ndiye Katibu mkuu wa Chadema kwa sasa, basi ningeuona uzembe wa dhahiri nilio nao. Uzembe ambao mimi kuwa nao unaendelea kukigharimu chama changu ninachokiongoza. Ningeamua kujitafakari ili nitoe nusura.

Tuwe wa kweli. Haiwezekani katibu mkuu yupo miaka mingi tu sasa bado hajajua kujisimamia kama katibu mkuu. Kweli huyu ni katibu mkuu wa chama kikubwa kama Chadema?

Intelijensia ya Chadema inaundwa chini ya ofisi ya katibu mkuu. Baada ya katibu mkuu "kufa" kisiasa na kiushawishi hiki chombo muhimu cha chama nacho kimekufa. Haiwezekani mfano Tundu Lissu pamoja na madhila aliyonayo bado anaonyesha kujituma kwa Chadema kuliko katibu mkuu ambaye yupo ofisini kila siku na mzima wa afya.

Kupooza kwa ofisi ya katibu mkuu chini ya Mashinji kumewafanya hata wasaidizi wake wawili ambao hapo kabla ya ujio wake walikuwa machachari sana lakini ghafla nao wamepooza! Hii kusema kweli ni kutokana na kukosa morali kutoka kwa boss wao. Mtu kama Mbowe huwezi kutegemea akafanya kila kitu ndiyo maana Chadema ilipokuwa chini ya Dr. Slaa ilikuwa kweli chini yake na alionyesha kulimudu vyema jukwaa la kisiasa Tanzania.

Hatuwezi kutoa kisingizio endelevu cha kuzuiwa kwa mikutano ya kisiasa. Hilo lipo kila sehemu, sasa ni wajibu wa kiongozi kujitoa kweli kweli. Kama ni kesi hata kina Slaa waliwahi kuzushiwa mpaka za kujaribu kumuua Zitto na bado walikomaa. Najikuta nikishangaa kesi moja aliyo nayo Mashinji pale Kisutu imemfanya aone kama ndiyo mwisho wa maisha! Lazima kugangamala.

Naamini Chadema kwa mara ya kwanza imempata katibu mkuu asiye sahihi kisiasa. Hata hivi leo tungekuwa na Benson Singo nadhani ingekuwa tofauti sana.Siasa za upinzani kwa Afrika nzima ni kupigana tena kweli kweli. Mtendaji mkuu wa chama ni lazima aonyeshe uhai kweli kweli.

Kwakweli Chadema ni lazima ione haja ya hali ya dharura.

Hata Lissu leo anasema kuwa Chadema yapo pia matatizo ya kujitakia na kwa uhakika kabisa pamoja na mengine pia anaigusia ofisi ya katibu mkuu ambayo imedhoofu isivyo kawaida!
Mkuu umesema kweli tupu..

Nimeshasema mara kadhaa hapa kwamba Mashinji hakuwa chaguo sahihi sasa sijui kwanini wasirekebishe hili tatizo..

Kuna kukosea kwenye kuchagua lakini sio mbaya wala dhambi kufanya mabadiliko ambayo yalipaswa kufanywa muda mrefu tu kwa hii nafasi ya Katibu Mkuu..

Mashinji to be honest anakigharimu sana CHADEMA..

John Heche naona ndie mtu sahihi pale.
 
Acheni kuingia katika mtego wa ma-CCM.

Hiki sio kipindi cha kutuhimiana hadharani hata kidogo.Mnampa faida adui.

Hata hii CCM ina matatizo mengi sema inabebwa na dola.

Jiwe amekiteka chama na sio wote wanampenda.
 
Naamini hata kama ni mimi ningekuwa ndiye Katibu mkuu wa Chadema kwa sasa, basi ningeuona uzembe wa dhahiri nilio nao. Uzembe ambao mimi kuwa nao unaendelea kukigharimu chama changu ninachokiongoza. Ningeamua kujitafakari ili nitoe nusura.

Tuwe wa kweli. Haiwezekani katibu mkuu yupo miaka mingi tu sasa bado hajajua kujisimamia kama katibu mkuu. Kweli huyu ni katibu mkuu wa chama kikubwa kama Chadema?

Intelijensia ya Chadema inaundwa chini ya ofisi ya katibu mkuu. Baada ya katibu mkuu "kufa" kisiasa na kiushawishi hiki chombo muhimu cha chama nacho kimekufa. Haiwezekani mfano Tundu Lissu pamoja na madhila aliyonayo bado anaonyesha kujituma kwa Chadema kuliko katibu mkuu ambaye yupo ofisini kila siku na mzima wa afya.

Kupooza kwa ofisi ya katibu mkuu chini ya Mashinji kumewafanya hata wasaidizi wake wawili ambao hapo kabla ya ujio wake walikuwa machachari sana lakini ghafla nao wamepooza! Hii kusema kweli ni kutokana na kukosa morali kutoka kwa boss wao. Mtu kama Mbowe huwezi kutegemea akafanya kila kitu ndiyo maana Chadema ilipokuwa chini ya Dr. Slaa ilikuwa kweli chini yake na alionyesha kulimudu vyema jukwaa la kisiasa Tanzania.

Hatuwezi kutoa kisingizio endelevu cha kuzuiwa kwa mikutano ya kisiasa. Hilo lipo kila sehemu, sasa ni wajibu wa kiongozi kujitoa kweli kweli. Kama ni kesi hata kina Slaa waliwahi kuzushiwa mpaka za kujaribu kumuua Zitto na bado walikomaa. Najikuta nikishangaa kesi moja aliyo nayo Mashinji pale Kisutu imemfanya aone kama ndiyo mwisho wa maisha! Lazima kugangamala.

Naamini Chadema kwa mara ya kwanza imempata katibu mkuu asiye sahihi kisiasa. Hata hivi leo tungekuwa na Benson Singo nadhani ingekuwa tofauti sana.Siasa za upinzani kwa Afrika nzima ni kupigana tena kweli kweli. Mtendaji mkuu wa chama ni lazima aonyeshe uhai kweli kweli.

Kwakweli Chadema ni lazima ione haja ya hali ya dharura.

Hata Lissu leo anasema kuwa Chadema yapo pia matatizo ya kujitakia na kwa uhakika kabisa pamoja na mengine pia anaigusia ofisi ya katibu mkuu ambayo imedhoofu isivyo kawaida!
Huyo ni kibaraka wa mh. Mbowe
 
Huyu katibu anaonewa tu...!!..kila anayetoka analalama juu ya mwenyekiti..!mwenyekiti..!mwenyekiti...! Hivi hakuna namna ya kumvaa huyu jamaa?tukicheza chama kitatufia hiki..!
 
Acheni kuingia katika mtego wa ma-CCM.

Hiki sio kipindi cha kutuhimiana hadharani hata kidogo.Mnampa faida adui.

Hata hii CCM ina matatizo mengi sema inabebwa na dola.

Jiwe amekiteka chama na sio wote wanampenda.
Mtadata mwaka huu na bado
Subirini mziki wa MAGUFULI 2020 muone kimbunga Cha hatari.hata mfanye Nini watanzania wanajitambua Sana na wanajua kinachoendelea wanashukuru kumpata MAGUFULI.mtachanganyakiwa
Nyumbani kumenoga
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Mtadata mwaka huu na bado
Subirini mziki wa MAGUFULI 2020 muone kimbunga Cha hatari.hata mfanye Nini watanzania wanajitambua Sana na wanajua kinachoendelea wanashukuru kumpata MAGUFULI.mtachanganyakiwa
Nyumbani kumenoga
Watu kama hawa mod unatakiwa uwapige life ban
 
Naamini hata kama ni mimi ningekuwa ndiye Katibu mkuu wa Chadema kwa sasa, basi ningeuona uzembe wa dhahiri nilio nao. Uzembe ambao mimi kuwa nao unaendelea kukigharimu chama changu ninachokiongoza. Ningeamua kujitafakari ili nitoe nusura.

Tuwe wa kweli. Haiwezekani katibu mkuu yupo miaka mingi tu sasa bado hajajua kujisimamia kama katibu mkuu. Kweli huyu ni katibu mkuu wa chama kikubwa kama Chadema?

Intelijensia ya Chadema inaundwa chini ya ofisi ya katibu mkuu. Baada ya katibu mkuu "kufa" kisiasa na kiushawishi hiki chombo muhimu cha chama nacho kimekufa. Haiwezekani mfano Tundu Lissu pamoja na madhila aliyonayo bado anaonyesha kujituma kwa Chadema kuliko katibu mkuu ambaye yupo ofisini kila siku na mzima wa afya.

Kupooza kwa ofisi ya katibu mkuu chini ya Mashinji kumewafanya hata wasaidizi wake wawili ambao hapo kabla ya ujio wake walikuwa machachari sana lakini ghafla nao wamepooza! Hii kusema kweli ni kutokana na kukosa morali kutoka kwa boss wao. Mtu kama Mbowe huwezi kutegemea akafanya kila kitu ndiyo maana Chadema ilipokuwa chini ya Dr. Slaa ilikuwa kweli chini yake na alionyesha kulimudu vyema jukwaa la kisiasa Tanzania.

Hatuwezi kutoa kisingizio endelevu cha kuzuiwa kwa mikutano ya kisiasa. Hilo lipo kila sehemu, sasa ni wajibu wa kiongozi kujitoa kweli kweli. Kama ni kesi hata kina Slaa waliwahi kuzushiwa mpaka za kujaribu kumuua Zitto na bado walikomaa. Najikuta nikishangaa kesi moja aliyo nayo Mashinji pale Kisutu imemfanya aone kama ndiyo mwisho wa maisha! Lazima kugangamala.

Naamini Chadema kwa mara ya kwanza imempata katibu mkuu asiye sahihi kisiasa. Hata hivi leo tungekuwa na Benson Singo nadhani ingekuwa tofauti sana.Siasa za upinzani kwa Afrika nzima ni kupigana tena kweli kweli. Mtendaji mkuu wa chama ni lazima aonyeshe uhai kweli kweli.

Kwakweli Chadema ni lazima ione haja ya hali ya dharura.

Hata Lissu leo anasema kuwa Chadema yapo pia matatizo ya kujitakia na kwa uhakika kabisa pamoja na mengine pia anaigusia ofisi ya katibu mkuu ambayo imedhoofu isivyo kawaida!
Naunga mkono hoja, na tatizo bado lipo!.
P
 
Back
Top Bottom