tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,478
Kweli kabisa haki za binadamu' tamwa' jukwaa la wahariri, baraza la maaskofu, bakwata wote wametoa njaa tumboni na kuipeleka kichwani matokeo yake wameharibu akili zao, mfano leo tunaona wanaotajwa kuutaka urais wanavyopita makanisani na kuchangishsha pesa hali yakuwa nia nanadhumuni yao yanajulikana, halafu hata kina siye hawa jamaa wakitoa matamko tunaungana nao, inabidi ifikie hatua tuwaumbue unafiki wao,
inabidi sasahivi mtu akitoa tamko,tumuambie aende kwao akamtolea mama yake mzazi kwanza na familia yake