Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,341
Sidhani kama walijipanga vizuri sijaona guide book yeyote.Na Guide book ya hii intake ikoje?
Sidhani kama walijipanga vizuri sijaona guide book yeyote.Na Guide book ya hii intake ikoje?
Imtu jeKampala imepona kweli
Soma uzi usikurupuke, hivyo vilivyoorodheshwa ndivyo vimeruhusiwa kufanya udahiliNi kama nimeona DIT na ATC vile?
hahahahaaaaaa unajifarijni kwa intake ya april tu subiri intake ya September vyuo vyote zaidi ya 500 utaviona, hii serikali ni ya kukurupuka
Hadi hichi 😱64 Institute of Rural Development and Planning - Dodoma
Uliferi somo la kiswahili mdogo wangu!!Hadi hichi 😱
Acha unanga! Unashangaa niniHadi hichi 😱
Tulifeli wote mdogo wangu, maana kuandika kwako ni shida.Uliferi somo la kiswahili mdogo wangu!!
Tulia pimbi wewe. Kwanini nisishangae sasa.Acha unanga! Unashangaa nini
kuna ndugu yangu kamaliza pale wanasema ni chuo bora tuambie shida nini paleKuna vyuo vingine ni vya ovyo ovyo tu kama Mtwara COTC,taaluma inayotolewa ni ya kusukuma siku ziende wamulike katika uendeshaji wa hivi vyuo pia
Ni kama nimeona DIT na ATC vile?
Ubora wa majengokuna ndugu yangu kamaliza pale wanasema ni chuo bora tuambie shida nini pale
Ubora wa majengo