Wakuu mabibi na mabwana...selection ambazo zilitazamiwa kutolewa mwanzoni mwa mwezi huu zitachukua muda kidogo hii ni kutokana na kugundulika kwa udanganyifu,na kuna watu wamefanya application Mara mbili kwa cheti kimoja miaka miwili tofauti...!!!kama unawasiwasi na cheti chako jiandae mapema...!!!
Hapa kazi tu