NACTE mnatuchanganya

NACTE mnatuchanganya

sumaibra

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2013
Posts
232
Reaction score
101
Last week waliwapangia watu vyuo na profile zao zikaonesha wako selected
Leo selected imeondoka na profile imerud kama mwanzo ila capacity zero.

Hii sijui inamaanisha nini
 
Last week waliwapangia watu vyuo na profile zao zikaonesha wako selected
Leo selected imeondoka na profile imerud kama mwanzo ila capacity zero.

Hii sijui inamaanisha nini

Usiogope ni matatizo tu ya mtandao kila kitu kitakaa poa
 
dah mm ndo nimekata tamaa kabisa mamamaee zao wakitaka wanichague wakitaka waache mamaeeeeee zao sibembelezi panya yeyote.
 
mh hii sasa ni hatar zaid.Mara selected then profile returned as formally zero capacity.
 
ili swala ni kwa wote hata kwangu imekuwa hivyo wakati nilikuwa nimechaguliwa


hii ni sheeda sasa
 
Last week waliwapangia watu vyuo na profile zao zikaonesha wako selected
Leo selected imeondoka na profile imerud kama mwanzo ila capacity zero.

Hii sijui inamaanisha nini

mmesha chaguliwa !!! xo wait
 
Duh msiwe na shaka wakuu hiyo trh 2 ikifika we chukuo mavyet yako nenda chuo umachotaka direct kaombe usajiriwe
 
Duh msiwe na shaka wakuu hiyo trh 2 ikifika we chukuo mavyet yako nenda chuo umachotaka direct kaombe usajiriwe

we ndo mjanja cha msingi jichanganye chuo unachokipenda omba usajiliwe as long as uweze kupay fees
 
we ndo mjanja cha msingi jichanganye chuo unachokipenda omba usajiliwe as long as uweze kupay fees

hiyo ni mbaya kama malaya kufunga ndoa ya kikristo,tcu huwa wanakuja kukagua cha msingi we piga simu nacte
 
ebu kuweni na subira vijana acheni MATUSI yasiyo na TIJA
 
Kugaiana presha tu...
Wangekausha kuliko kuapa watu vyuo alaf baadae wanacancel
 
mbona hamtumi hizo pc znazooonye hzo taarfa mnabaki mkilalamika tu lete hzo picha za profile zenu tuwa saidie
 
Halaf chuo hakijatoa majina kwny prf umeadikiwa selected leo haipo labda chuo kimekanusha kutupokea
 
Back
Top Bottom