Wadau tufafanulie kuhusu hili.Sifa inayojulikana kwa wanaoomba Elimu ya juu ni Kidato cha Sita,Kidato cha Nne na Stashahada ya B grade.Lakini kuna Watu niliosoma nao wamepitishwa na NACTE kwa Elimu ya juu wakiwa na Kidato cha Nne na Stashahada ya C PASS.Tueleni kama viwango vimebadilika tuchukue fomu kwa kuwa mwanzo tulisita kwa kufuata matangazo ya Vyuo husika.Wana JF wenye ufahamu wa hili na NACTE mtuelimishe.