Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,569
Apo unaenda kuanzia certificate babaMie ndoto zang n kugonga IT kwa sanaaa kiongoz ,,,Uwalim n kaz nzur sawa lakin kusoma Kitu usicho penda n kama kujitafutia kufail badae,,,
Was was wangu n kwamba hivi sasa ninalipiwa na loanboard course hii nisomayo(special dip) in sec,mathematics an ICT,na nataka kusoma diploma in computer engineering sasa Nahc naweza nisiwe selected pale nitapo apply ,,,,naomba ushaur wenu ,,
Vyuo vya serikali utapata tu kama ufaulu wako uko poa ila vyuo vingi vya serikali tuanzaa kuapply intake ya mwezi wa nneUnadhani kweli vyuo vya serikali bado vina nafasi?
Hawezi kupata maana wanaanza mwaka wa masomo 2017/18Kwani kozi gani zitapewa mkopo mwaka huu nina mdogo wangu yuko diploma ya IT mwaka wa kwanza atapata
Vyuo vya serikali utapata tu kama ufaulu wako uko poa ila vyuo vingi vya serikali tuanzaa kuapply intake ya mwezi wa nne
Ualimu unahitaji moyoMie ndoto zang n kugonga IT kwa sanaaa kiongoz ,,,Uwalim n kaz nzur sawa lakin kusoma Kitu usicho penda n kama kujitafutia kufail badae,,,
Was was wangu n kwamba hivi sasa ninalipiwa na loanboard course hii nisomayo(special dip) in sec,mathematics an ICT,na nataka kusoma diploma in computer engineering sasa Nahc naweza nisiwe selected pale nitapo apply ,,,,naomba ushaur wenu ,,
Ufaulu wako ni upi ?Wadau me ata sijui nichague course gani KwA kweli
Mwaka gani ?
Mkuu tutachaguliwa kweli ambao tuliapply mwaka Jana tukachaguliwa then tukashindwa kwenda chuoni ?Ngoja nisubiri mwezi wa nne tu,dah!hakuna kozi za Civil,electrical wala Mechanical Engineering!
Ordinary diploma in computer engineering Ndo nataka kuapply,,,Lipia uapply upya tu utachaguliwa unataka uapply course gani?
labda uandike barua ya kuacha chuo utolewe kwenye system Yao vinginevo haiwezekaniKuna kitu nataka kufanya, nataka kubadilisha fani! Nikiomba system itanikubali maana sasa niko chuoni nilichaguliwa mwaka jana! Is this possible au ni kwa wale ambao hawakujisajili mwaka jana
mzee wa giningi kwanza kabisa habari za kitambo!kuhusu kuchaguliwa wala usihofu kabisa,kinachotakiwa ni pesa ya udahili tu!Mkuu tutachaguliwa kweli ambao tuliapply mwaka Jana tukachaguliwa then tukashindwa kwenda chuoni ?
kumbe ndio ivo kwaiyo now hakuna intake basi sawaaPrimary education subiri mpaka mwezi wa nne watatoa tena kwa intake ya October
oK asante. Nimeangalia vyuo vyote almost all ni private with certificate training of which is not my priority.labda uandike barua ya kuacha chuo utolewe kwenye system Yao vinginevo haiwezekani