Ndugu zangu tulioandikiwa kwenye profile zetu za nacte kuwa tusubiri confirmation toka kwenye vyuo ila tupo selected, nilikua nina ushauri labda unaweza kutuletea majibu mazuri, nina rafikiangu niliomba nae through nacte yeye ameandikiwa asubiri pia approve toka chuoni na jina lake pia bado halijatoka kwenye list ya selected candidates kwa chuo alichoandikiwa kwny profile.
Alichofanya ameenda moja kwa moja kwenye kile chuo na kuwaambia kuwa amefuata admission letter, akaulizwa jina lipo batch gani? akasema halijatoka kwny batch yoyote mpaka sasa ila nacte wamedirect kuwa amekua selected pale, wakamwambia awapatie index no. yake ya form 4 then na email alotumia ku apply kwa nacte. basi jamaa wakamfyatulia admission letter yake bila shida. alichokiona ni kuwa taarifa zetu tayari zipo vyuoni husika ila tuu vyuo ndo vina delay kurelease officially.
SASA USHAURI WANGU KWA WALE MLIOKO KARIBU NA VYUO KWA MFANO WEWE WA NACTE ULIOPO DAR NA UNASUBIRI APPROVAL TOKA UDSM HEBU JARIBU KWENDA PALE NA KUULIZIA ILI TUWEZE KUWA NA UHAKIKA JE HIKI KITU KIPO VYUO VYOTE AU NI BAADHI.
AHSANTE NA NATARAJIA MAJIBU KWA WALE WATAKAOJARIBU
Alichofanya ameenda moja kwa moja kwenye kile chuo na kuwaambia kuwa amefuata admission letter, akaulizwa jina lipo batch gani? akasema halijatoka kwny batch yoyote mpaka sasa ila nacte wamedirect kuwa amekua selected pale, wakamwambia awapatie index no. yake ya form 4 then na email alotumia ku apply kwa nacte. basi jamaa wakamfyatulia admission letter yake bila shida. alichokiona ni kuwa taarifa zetu tayari zipo vyuoni husika ila tuu vyuo ndo vina delay kurelease officially.
SASA USHAURI WANGU KWA WALE MLIOKO KARIBU NA VYUO KWA MFANO WEWE WA NACTE ULIOPO DAR NA UNASUBIRI APPROVAL TOKA UDSM HEBU JARIBU KWENDA PALE NA KUULIZIA ILI TUWEZE KUWA NA UHAKIKA JE HIKI KITU KIPO VYUO VYOTE AU NI BAADHI.
AHSANTE NA NATARAJIA MAJIBU KWA WALE WATAKAOJARIBU