lucas myula
Member
- Mar 28, 2014
- 8
- 1
jamani naombeni msaada nimesoma chuo cha Kampala ngazi ya certificate in public administration nikaomba nacte niendelee na diploma ya kitu kingine yani diploma ya community development Ila sijachaguliwa ,..nifanyeje?.hivi ni lazma kusomea nilicho soma certificate?