Engineer wa CBE
Hata Universities wanatoa astashahada, stashabada na kuendeleaIlitakiwa atuelezee sifa na tofauti kati ya chuo kikuu na Taasisi ya elimu
Sidhani kama Kuna tofauti ya kiubora maana ametoa mfano wa Taasisi inayotoa cheti mpaka masters so naona bado hajaeleweka naona ameeleza kiushabiki zaidi kuliko uhalisia
Kwahiyo hata vikitoa elimu Hadi ngazi ya PhD bado vitaitwa vyuo vya kati au?Mkuu, chuo kutoa degree sio kigezo kua chuo kikuu. Yuko sawa kabisa hivyo sio vyuo vikuu bali ni vyuo vya kati.
Kwa kuelewa zaidi tafuta guide books za tcu ili uongeze maarifa.
Respect...
Shangaa unakuta kijana anatoka IFM au DIT ni programmer mzuri ( wapo wengi tu wameajiriwa na makampuni ya IT) wanakuacha wewe na raba zako za aadidas + flana za Arsenal au Manchester United hapo Unapopaita University of AfricaHalaf mim kuna siku nilijiulizaga hili swali
Ifm na comp sci wapi na wapiπππ
Itakua bodi imekaa ikaona itafute vyanzo vingine vya mapato πππ
Elimu ya kiwango cha chuo kikuu.Tazama rankings ya vyuo vikuu bora duniani.
Utakutana na MIT, California institute of technology, Georgia institute of technology.
Hapo huwa sielewi kwa nini wanaingiza taasisi ziwemo katika 10 bora ya vyuo vikuu duniani
Ni kwamba hii ilikuwa haieleweki? Tangu miaka ya 70 vilipoanzishwa ilikuwa ikujulikana hivyo, IFM inaitwa Chuo tu (Institute) na sio Chuo Kikuu (university)Wale Mliosoma IFm,Cbe na Arusha Tech Pokeeni Hii Taarifa Wakuu.
----
Dkt. Geofey Oleke - Mkurugenzi wa Udhibiti, Tathmini na Ufuatiliaji NACTE amesema haya
Watu huwa wanachanganya kati ya NECTA Na NACTE kwa sababu ya maneno kushabihiana NACTE ni baraza la Taifa la elimu ya Ufundi wakati NECTA ni baraza la Mitihani la Taifa. Sisi kazi yetu ni kusajili vyuo na kuangalia ubora katika vyuo vya elimu ya kati, ni vyuo ambayo sio vyuo vikuu ambayo vinatoa ngazi ya cheti, diploma, degree mpaka degree za juu.
Vyuo ambayo sio vyuo Vikuu ni IFM, CBE, Arusha Tech., hizi ni taasisi za elimu zinatoa ngazi ya cheti hadi Masters vyote vipo chini na NACTE.
Vyuo vikuu vyote vipo chini ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kama UDSM, UDOM na vingine.
Tupo kwenye msimu wa Udahili na kawaida kabla ya wanafunzi kwenye vyuoni kuripoti wanafanyiwa uhakiki.
Wanafanya maombi kwenye vyuo vyao halafu baadaye vyuo vinaleta majina ya wanafunzi wote wanaotakiwa kusajiliwa ili sifa zao zifanyiwe uhakiki kwa mfano unataka kusoma program ya afya kumbe hauna vigezo vya kusoma kazi yetu kubwa kama baraza ni kuangalia ubora tumeshafanya kwenye program ya afya kwenye vyuo vya Serikali kwenye vyuo vingine mchakato unaendelea umeanza tarehe 5 kuangalia sifa za wanafunzi vyuo vyote vimeleta majina ya wanafunzi wao. Hii kazi itakwenda mpaka tarehe 15 September
Tanzania institute of accountancy kwa hio inajieleza kabisa Ni taasisi ya elimu(institute) na sio UniversityTIA nayo vipi?
Watoto wa Prof MsanjiraJamani cbe yetu mnainanga kwann lakini
True bro wanatafutaga kozi nyingne ambazo hazina hata uhusiano ili wapate fedha tuu, hawafwati protocolHalaf mim kuna siku nilijiulizaga hili swali
Ifm na comp sci wapi na wapiπππ
Itakua bodi imekaa ikaona itafute vyanzo vingine vya mapato πππ
Mkuu, chuo kutoa degree sio kigezo kua chuo kikuu. Yuko sawa kabisa hivyo sio vyuo vikuu bali ni vyuo vya kati.
Kwa kuelewa zaidi tafuta guide books za tcu ili uongeze maarifa.
Respect...
Mbona umeumia hivohivi watu wakienda kuhojiwa clouds tv akili zinakuwaje.
hapa naona jamaa anakwambia IFM na CBE sio vyuo vikuu.
sasa degree na zinatolewaje hapo !
labda mimi ndo sielewi au!
View attachment 1927807